Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,491
- 26,978
Unaweza kuona mwisho wakati uko mwanzo
Lakini wao watatimiza lengo lao na kurithisha madaraka, wewe kuona mwisho tu haitowaathiri chochote.
Unaweza kuona mwisho wakati uko mwanzo
Kwenye siasa kuna public perceptions, sio vizuri zikiwa hostile sana.Lakini wao watatimiza lengo lao na kurithisha madaraka, wewe kuona mwisho tu haitowaathiri chochote.
Muhoozi kazaliwa Sinza Dar es Salaam na siyo moshi.Kwa watoto wa museveni aliyezaliwa moshi kcmc ni Natasha Karugire mwaka 1976 kipindi hicho museveni alikuwa akifundisha chuo cha ushirika moshi.Kwa wale wasiofahamu Muhoozi alizaliwa Moshi wakati Baba yake akiwa mkufunzi ushirika
Ni kweliScript zao ni za kitoto sana.... movie inaanza tu unajua mwisho wake.
Museveni katumia nguvu nyingi sana kumuandaa mtoto wake Muhoozi kwa ajili ya kumrithi.
Kagame nae anamwandaa mwanae Ivan kuja kurithi kiti chake.
Anyways, ni bora wafanye hivyo, maana Afrika ukitoka bila mipango utaishia lupango au uhamishoni c.c Dos Santos wa Angola
Alikuwa anakutetea wewe usiunganishe nawengineHii riwaya inatufundisha nini sisi "wanyonge" ambao mtetezi wetu alikufa tarehe 17/3?
Sio kila general anakuwa mkuu wa majeshi Kwa baadhi ya nchi mfano USA,Kamandi zote zinaongozwa ma-general ila mkuu wao naye ni general ambaye huitwa GENERAL OF THE ARMYUko sawa ila iko hizi
1. Brigadier General
2. Major General
3. Luteni Generar
4. General - ambayo hii inakuwa kavu akitambulika kama Mkuu wa Majeshi
Kweli kabisa na mie nawaunga mkono hatufurahii wengine hasa viongozi kuumia kwa style hii!! tena kule Angola wanao fanya hayo mabaya ni waleee watu wake wa karibu alio wapa Madaraka mwenyewe!nyways, ni bora wafanye hivyo, maana Afrika ukitoka bila mipango utaishia lupango au uhamishoni c.c Dos Santos wa Angola
Acha wamuandae tuEast Africa inawatu wake naona gen. MuhozI maandalizi ya Urais
Dah umenikumbusha mbali kwa hizi picha!Nimesema kuwa Kuanzia Brigadier General hadi General nikiwa na maana ya kwamba kuna ngazi baina yake, kwa hiyo hiyo list unayoniwekea hapoo juu sijui una maana gani.
General siyo mkuu wa majeshi; ni Tanzania tu ambako cheo cha General kimeachwa kuwa cha mkuu wa majeshi tu. Nchi kama Israel haina General kabisa bali cheo cha mwishio na mkuu wa Majeshi ni Lt. General, na kwa nchi kama Marekani ina Generals zaidi ya 50 na mkuu wa majeshi ni General mmojawapo wao. Wote hawa kwenye picha ni Generals, je wote ni wakuu wa jeshi?
View attachment 2152607
We jamaa ulitabiriHuyo ni Luteni Jenerali.
Baada ya hapo kinachofuata ndio u Jenerali