jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 3,241
- 12,738
Boss naomba nisaidie hii dawa, maana kimenitesa hadi uwezo wa kuona vizuri umefifia,Mimi pia alinisaidia sana kupona kipandauso kilichonisumbua miaka nenda rudi lakini siku moja aliponitajia mchanganyiko wa sawa nilipona siku hiyo hiyo niliyotumia sijui daftari langu la notes za mafundisho ya ndodi nani hata aliniibiaga maana nilikuwa naelekea kuwa mganga