hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,220
- 72,994
hahaaa .mamaee " mwisho wa siku angesema kuoga usiku haitakiwiKula na huku unakunywa maji haitakiwi.
Kunywa soda au chai haitakiwi.
Kunywa chai na mkate haitakiwi.
hahaaa .mamaee " mwisho wa siku angesema kuoga usiku haitakiwiKula na huku unakunywa maji haitakiwi.
Kunywa soda au chai haitakiwi.
Kunywa chai na mkate haitakiwi.
Hahahahaha.. nimecheka kwa nguvuHuu uzi ungenoga sana kama mtu angetupia picha yake ya sasa. Yaani before and after kama wale watu wa forever living wanavyo advertise dawa zao
Mkuu naweza kupata maelezo kuhusu hiyo dawa ya jino.Amenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona
Wewe uliyeliwa mkwanja na yeye aliyekula nani FALA?Huyo fala alishawahi kunitapeli bingo zangu pale Itumbi hotel...huwa sitaki hata kumsikia!
Huu uzi ungenoga sana kama mtu angetupia picha yake ya sasa. Yaani before and after kama wale watu wa forever living wanavyo advertise dawa zao
Wacha kuhusisha kanisa LA Mungu na uchungaji wa Ndodi.Yeye ni msabato lakini hana uchungaji.Tena "Msabato".......
Unitag ukipata jibuMkuu naweza kupata maelezo kuhusu hiyo dawa ya jino.
Hii ni sawa na mtaalam wa fedha ambaye anaelezea mikakati na namna ya kupata hela. Afu anakuja kuomba hela ya kuweza kupablish hicho kitabuYule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Ndo role model waoFather of all fake doctors
Hahah aisee noma sanaNdodi alimfanya bibi angu asichemshe maji eti anaanika tu
Bila shaka una kitambiYule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Ni kweli. Kwanini unaweka kemikali kichwani?Huyu alikuwa anasema dawa za nywele ni sumu watu wawe na natural hair
Amenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona