Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Sasa hivi wale watu wanaosali j1 wanaliza sana wagonjwa wa magonjwa sugu, wanasoma sign and symtoms za magojwa kwenye vitabu, halafu wanakwenda kwenye viredio vya kimkoa na kutangaza kuwa wanatibu magonjwa hayo kwa kusoma hizo signs and symtopms sasa wewe ukisikia ametaja dalili ulizonazo unaamini kweli ni dactari kumbe ni matapeli wakubwa, wanajiita sanitarium, wamelisha sana watu matango na juice za matunda wanawadanganya ni dawa. Wanamfuata mwasisi wao ndodi ambaye alikuwa anasema ukipata kitambi ni dhambi lakini baada ya fedha za bure kumnyookea kitambi kilipitiliza kipimo.
 
Huyu alikuwa anasema dawa za nywele ni sumu watu wawe na natural hair
 
Huu uzi ungenoga sana kama mtu angetupia picha yake ya sasa. Yaani before and after kama wale watu wa forever living wanavyo advertise dawa zao
DR isaac Ndodi .jpg
 
Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Hii ni sawa na mtaalam wa fedha ambaye anaelezea mikakati na namna ya kupata hela. Afu anakuja kuomba hela ya kuweza kupablish hicho kitabu
 
Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Bila shaka una kitambi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom