Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,446
- 3,318
Hahaha sijui yupo wapi nilikuwa namfuatilia sana
Mimi pia alinisaidia sana kupona kipandauso kilichonisumbua miaka nenda rudi lakini siku moja aliponitajia mchanganyiko wa sawa nilipona siku hiyo hiyo niliyotumia sijui daftari langu la notes za mafundisho ya ndodi nani hata aliniibiaga maana nilikuwa naelekea kuwa mgangaNilikuwa mfuatiliaji sana wa vipindi vyake kupitia EATV na kupitia mafunzo na maelekezo yake Nilipona magonjwa yalokuwa yakinisumbua kwa mda mrefu sana, Big up Dr Ndodi be blessed sana na uzidi kusaidia wengine
Tupo naye huku tunachoma kachumbariHakuna jiwe litakalobaki juu ya juwe lingine. do mwaka anauza fruit salad gongo la mboto
Dawa ya kisukari alikuwa anaponda majani ya miembe ng'ong'oNachomsifu Ndondi ni aina yake ya kuongea huwa haichoshi na inavutia uendelee kumsikiliza.
Ila kwenye bei za dawa ndio alikuwa kiboko dozi moja anakwambia Elfu 45 na anakwambia ili upone kabisa kabisa unatakiwa unywe dozi siku 60.
Yawezekana dawa zake zilikuwa zinasaidia ila ziliwalenga Sana watu wenye kipato.
Jamaa aliwahi mapema nadhani ndiye aliyewafungua macho ma fake doctors wengine na mapastor kuwa via tv unanasa wateja wengiFather of all fake doctors
Hiii ya kitambi nilicheka sana jamaa kitambi kilimnyemelea Kwa Kasi na alikuwa anaponda balaa wanaume wenye vitambi mpaka wanawake walikuwa wanaona.mwanaume anayejua kushughulika kitandani ni Ndodi pekee yakeYule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Juice ya Limao ndo Dawa ya ulcers?Jamaa nilikuwa namfatilia sana RFA na EATV kwa vipindi vyake ila nimejifunza mambo mengi yenye manufaa kupitia kwake:-
1.kunywa maji nusu saa baada a kula
2.Vitunguu saumu dawa.
3.Dawa ya wasiopata choo - Juisi ya ukwaju
4.Dawa ya maralia na ulcers - Juice ya limao
5........
mkuu tusaidie na ssisi wengine mkuu ...jino na sikio..Amenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona
Ulikuwa utapeli tu kama utapeli wa macontainer ya vifaa vya shuleFather of all fake doctors
Hiii ya kitambi nilicheka sana jamaa kitambi kilimnyemelea Kwa Kasi na alikuwa anaponda balaa wanaume wenye vitambi mpaka wanawake walikuwa wanaona.mwanaume anayejua kushughulika kitandani ni Ndodi pekee yake
