Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Nilikuwa mfuatiliaji sana wa vipindi vyake kupitia EATV na kupitia mafunzo na maelekezo yake Nilipona magonjwa yalokuwa yakinisumbua kwa mda mrefu sana, Big up Dr Ndodi be blessed sana na uzidi kusaidia wengine
Mimi pia alinisaidia sana kupona kipandauso kilichonisumbua miaka nenda rudi lakini siku moja aliponitajia mchanganyiko wa sawa nilipona siku hiyo hiyo niliyotumia sijui daftari langu la notes za mafundisho ya ndodi nani hata aliniibiaga maana nilikuwa naelekea kuwa mganga
 
Nachomsifu Ndondi ni aina yake ya kuongea huwa haichoshi na inavutia uendelee kumsikiliza.

Ila kwenye bei za dawa ndio alikuwa kiboko dozi moja anakwambia Elfu 45 na anakwambia ili upone kabisa kabisa unatakiwa unywe dozi siku 60.

Yawezekana dawa zake zilikuwa zinasaidia ila ziliwalenga Sana watu wenye kipato.
Dawa ya kisukari alikuwa anaponda majani ya miembe ng'ong'o
 
Jamaa nilikuwa namfatilia sana RFA na EATV kwa vipindi vyake ila nimejifunza mambo mengi yenye manufaa kupitia kwake:-

1.kunywa maji nusu saa baada a kula
2.Vitunguu saumu dawa.
3.Dawa ya wasiopata choo - Juisi ya ukwaju
4.Dawa ya malaria na ulcers - Juice ya limao
5........
 
Kaajiriwa na klabu ya Fulham ya Uingereza kama Daktari mkuu. Pitia website ya Fulham.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu
Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?
Hiii ya kitambi nilicheka sana jamaa kitambi kilimnyemelea Kwa Kasi na alikuwa anaponda balaa wanaume wenye vitambi mpaka wanawake walikuwa wanaona.mwanaume anayejua kushughulika kitandani ni Ndodi pekee yake
 
Jamaa nilikuwa namfatilia sana RFA na EATV kwa vipindi vyake ila nimejifunza mambo mengi yenye manufaa kupitia kwake:-

1.kunywa maji nusu saa baada a kula
2.Vitunguu saumu dawa.
3.Dawa ya wasiopata choo - Juisi ya ukwaju
4.Dawa ya maralia na ulcers - Juice ya limao
5........
Juice ya Limao ndo Dawa ya ulcers?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom