Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Mjanja yule atakua anasoma alama za nyakati
Dr. Ndodi yupo anaendelea na shughuli zake. Kwa sasa kama uko mbali na Dar huwezi kujua maana yule Waziri aliyekwepa Twiga akavunjika mbavu alibadili kanuni ili kumkomoa Dr MWAKA kwa kupiga marufuku watu wa tiba mbadala kujitangaza kwenye TV au kubandika mabango mitaani.
 
Nachomsifu Ndondi ni aina yake ya kuongea huwa haichoshi na inavutia uendelee kumsikiliza.

Ila kwenye bei za dawa ndio alikuwa kiboko dozi moja anakwambia Elfu 45 na anakwambia ili upone kabisa kabisa unatakiwa unywe dozi siku 60.

Yawezekana dawa zake zilikuwa zinasaidia ila ziliwalenga Sana watu wenye kipato.
100% ni utapeli. Na ni kawaida sana ya tapeli kuwa na lugha nzuri.
 
Nilikuwa mfuatiliaji sana wa vipindi vyake kupitia EATV na kupitia mafunzo na maelekezo yake Nilipona magonjwa yalokuwa yakinisumbua kwa mda mrefu sana, Big up Dr Ndodi be blessed sana na uzidi kusaidia wengine
tupe ushuhuda mkuu?
 
Nilikuwa mfuatiliaji sana wa vipindi vyake kupitia EATV na kupitia mafunzo na maelekezo yake Nilipona magonjwa yalokuwa yakinisumbua kwa mda mrefu sana, Big up Dr Ndodi be blessed sana na uzidi kusaidia wengine

Dk Ndodi ni tabibu wa uhakika. Ni msema ukweli. Msijali anasali wapi. Hilo halituhusu. Kuhusu bei ya dawa zake, ikumbukwe kwamba vitu vizuri vina harama.
Mi simfahamu huyu tabibu lakini kupitia redio na tv nimegundua anaeleza mambo ambayo ndizo changamoto za watanzania wengi kila siku.
 
Dr. Ndodi yupo anaendelea na shughuli zake. Kwa sasa kama uko mbali na Dar huwezi kujua maana yule Waziri aliyekwepa Twiga akavunjika mbavu alibadili kanuni ili kumkomoa Dr MWAKA kwa kupiga marufuku watu wa tiba mbadala kujitangaza kwenye TV au kubandika mabango mitaani.
Mkuu weka kapicha kake ka sasa ,
 
Hakuna jiwe litakalobaki juu ya juwe lingine. do mwaka anauza fruit salad gongo la mboto
duuuh hapa umetunywesha uji mkuu "".. Dr mwaka mbona kafungua office ubungo plaza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom