Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!

Kuwaita viongozi waliodhurumiwa haki zao Insane wakati wewe mwenyewe ukijijua ni Idiot ni kutojitendea haki. Jitambue kwanza Uzuzu ulionao na Ulambamwiko, kujipendekeza na kujikomba hakukusaidii zaidi ya kukushusha. Umeshiriki kura za maoni ukaongeza ujinga, safari hii unapata uteuzi ambao umeulilia kwa kutukana wenzio, utakapopata ndo utakamilisha kabisa mzunguko wa upumbavu.

Mkuu tuvumikie tu.
Huyu kinachomsumbua ni ikabioa ushamba.
Matusi yote ya nini na wameshinda kwa asilimia zote?
 
Hivi ni wewe kweli yule ambaye ulituhimiza tumkosoe JPM kwa hoja na sio matusi?Unadhani hapo umetumia lugha sahihi?

Kweli tumbo halijawahi kumuacha mtu salama,mpaka umekengeuka na kuyapa kisogo yale uliyoyaamini na wewe umekuwa mtukanaji!

Namalizia kwa kusema wewe ni kada,huna moral authority ya kuchallange uamuzi wowote wa chama chochote cha upinzani!
 
Kwa kuwa wewe ulikuwa umelala usingizi mzito na umeamka jana basi hata CCM ni wabinafisi, wajinga, wasiojua maana ya vyama vya umma na kwakuwa wewe uko huko CCM basi na wewe ni mjinga, mbinafsi na usiye na akili. Nikuulize walichofanya kwenye chaguzi ndogo term iliyopita ni sahihi? Upumbavu mtupu waliofanya kwenye uchaguzi mkuu chini ya mwenyekiti wake John Magufuli ambaye kimsingi ndiye aliyeongoza upumbavu huo hukuuona?
 
Who decides what is public interest and what is not?

On what criteria?

CHADEMA wakisema it is in the public interest for them to not participate in parliament, to protest the grotesquely fraudulent election, how could you dispute that?
Mkuu Kiranga , kipimo cha public interest kabla ya kufikia uamuzi wowo, kinapimwa kwa kujiuliza jee uamuzi huu tunaouchukua una manufaa yoyote kwa chama chetu, jee una manufaa kwa public?. Public interest ni kutanguliza mbele maslahi ya umma na sio maslahi ya chama.

Chadema imepata mbunge mmoja wa Nkasi, kitendo cha kutaka kumzua ni uendawazimu, na Bunge likianza, akiapishwa kisha Chadema wakimfuta uachama, Spika atamlinda ili huu utakuwa ni uthibitisho Chadema ni vichaa!.

Sasa kufuatia aggregate ya kura za Lissu, Chadema ina fursa ya kuvuna wabunge 20 wa viti maalum, na kuendelea kuvuta ruzuku, Chadema inagoma kupeleka majina NEC, ina taka kuachieve nini?!. Kususia jambo au kugomea jambo ambalo you will achieve nothing kwa kususa huko au kugoma huko, this is insanity!.

Baada ya kushindwa uchaguzi wa 2015, Chadema wakahamasisha maandamano ya UKUTA kwa hoja ya kupinga udikiteta, niliuliza hivi hivi ninavyouliza leo
P
 
ACT Wazalendo, acheni ujinga wa ignorance, insanity, selfishness ya viongozi wenu insane!, pelekeni jina la Makamo wa Kwanza wa Rais kwa Dr. Mwinyi!
Chadema acheni ujinga wa ignorance, insanity, selfishness ya viongozi wenu insane!, pelekeni majina ya maalum NEC
Nawatakia Jumatatu Njema
Paskali
Paskali ng'wanangwa haki ya nani ulishakuwa pumbavu wewe! Kama unatumika bora unyamaze tu, kawaambie waliokutuma kwamba wapinzani hawawezi kushiriki haramu!

Tunajua pasiposhaka kwamba Magufuli uchaguzi huu alikuwa ameangushwa asitake kutuvurugia nchi! Kila mahali wasimamizi wameanza kutoa siri kwamba sanduku lilimkataa Magufuli
 
CCM wamepora kura, wamekataza maandamano, halafu wanataka kulazimisha wapinzani washiriki bungeni?

Yani umepanda daladala, mtu kakukanyaga mguuni.

Unamwambia umenikanyaga, anakuziba mdomo usiseme.

Unasema sawa, basi nataka nishuke nikuachie nafasi uendelee mwenyewe kwenye basi, anakwambia hakuna kushuka, baki humu humu niendelee kukukanyaga!
Mkuu Kiranga , nimecheka utadhani mazuri!.
P
 
Naona sehemu hii ya bandiko langu umeiruka kama hujaiona.

Nimeuliza hivi:-

CHADEMA wakisema it is in the public's interest for them to not participate in parliament, to protest the grotesquely fraudulent election, how could you dispute that?
 
Mada lirefu lakini na unafiki mtupu, watu wameuliwa, kujeruhiwa na kuachiwa vilema vya maisha hukujitokeza na kuandika huu utumbo, saa hii unashiwi watu wanashiriki kwenye bunge lilipotakina kwa kumwaga damu, ukatili na uhayawani wa wazi! Umeshakuwa mtu mzima bro, mada za kunafiki hazina maana huku ukikalia kimya unyama. Ungekuwa huongozwi na unafiki na kujipendekeza, ungeweka hapa sababu zinazotolewa kuzuia wagombea wao kushiriki kwenye hilo bunge kibogoyo.

Na nyie cdm tunawaambia kabisa, msilogwe mkapeleka wagombea wa viti maalum kwa kusikiliza hizi porojo za hawa wasaka vyeo, huku wakifumbia macho udhalimu ndani ya nchi hii. Hakuna ambaye hakuona ule upuuzi uliofanyika kwenye uchaguzi huu, mpaka mshawishike kwenda kwenye hilo bunge kibogoyo, kwa gharama za damu za watu na wizi wa kimachomacho. Paskali anaandika hizi mada ili kupata cheo, hajali unyama waliofanyiwa wananchi, na ukatili unaozidi kushamiri ndani ya nchi hii. Kama unasaka cheo Paskali tumia njia nyingine na sio kupitia cdm.
 
usikariri.
zipo video zaidi ya 4 askari wamewakamata makada wa CCM na kura zilizopigwa kwa mwenyekiti wako.
Usikariri kudhani kila video ni halisi. Hivi umesahau zile video za Iran za kuediti kwenye uzushi wenu eti ambulance za serikali zinabeba maiti wa korona kwenda kuzika usikuusiku???
 
Who decides what is public interest and what is not?

On what criteria?

CHADEMA wakisema it is in the public interest for them to not participate in parliament, to protest the grotesquely fraudulent election, how could you dispute that?
They are clearly & unmistakably working for the benefit of foreign interest groups; wala hata hawajifichi tena. Period. Fool me once, shame on you; fool me twice, shame on me.
 
Naona sehemu hii ya bandiko langu umeiruka kama hujaiona.

Nimeuliza hivi:-

CHADEMA wakisema it is in the public's interest for them to not participate in parliament, to protest the grotesquely fraudulent election, how could you dispute that?
Mkuu Kiranga, nilikujibu ila nitakujibu tena. Kipimo cha public interest ya jambo lolote, kinapimwa kwa manufaa ya jambo hilo kwa public. Ili jambo liwe ni public interest, lazima matokeo ya jambo hilo liwe na public interest,kwa kuleta manufaa kwa jamii. Hiyo Chadema na ACT, not to participate in parliament, ina public interest gani?, public inapata nini?, hao Chadema wenyewe watapata nini?.

P
 
Mkuu Kiranga, nilikujibu ila nitakujibu tena. Kipimo cha public interest ya jambo lolote, kinapimwa kwa manufaa ya jambo hilo kwa public. Ili jambo liwe ni public interest, lazima matokeo ya jambo hilo liwe na public interest,kwa kuleta manufaa kwa jamii. Hiyo Chadema na ACT, not to participate in parliament, ina public interest gani?, public inapata nini?, hao Chadema wenyewe watapata nini?.

P
Ukiambiwa kwamba CHADEMA na wapinzani kususia bunge kutalifanya bunge la Tanzania kukosa hadhi ya mabunge ya Commonwealth yenye upinzani, na kumulika wizi wa kura wa CCM, na kuikosesha misaada serikali dhalimu ya CCM, na kuifanya serikali hiyo ifikiri mara mbili kabla ya kuiba kura tena, na kwamba hilo ni jambo lenye public interest, utakubali?
 
They are clearly & unmistakably working for the benefit of foreign interest groups; wala hata hawajifichi tena. Period. Fool me once, shame on you; fool me twice, shame on me.
What makes you say so?

Which foreign interests?

Are all foreign interests bad?

Some foreign governments give a lot of aid to fund social services in Tanzania, is that bad?
 
Ukiambiwa kwamba CHADEMA na wapinzani kususia bunge kutalifanya bunge la Tanzania kukosa hadhi ya mabunge ya Commonwealth yenye upinzani, na kuikosesha misaada serikali ya CCM, na kuifanya serikali hiyo ifikiri mara mbili tena, na kwamba hilo ni jambo lenye public interest, utakubali?
Bunge ni la Tanzania kwa ajili ya Watanzania, ikitokea ni Watanzania wenyewe, wamevikataa vyama vingi, wamekichagua chama kimoja tuu, kosa la Bunge letu ni lipi hadi lipunguziwe hiyo hadhi ya mabunge ya Commonwealth?. Huko kwa bunge letu kutambuliwa na mabunge ya Commonwealth kuna maslahi gani kwa taifa?. Hiyo misaada ya Commonwealth kwa mabunge yenye hadhi ya mabunge ya Commonwealth ina maslahi gani kwa taifa letu?.
Huko nyuma niliwahi kushauri, tuache kabisa kuwapapatikia mabeberu, kwa sababu tuu ya viji misaada vyao mbuzi!.
P
 
Back
Top Bottom