Karibu Sana
JF-Expert Member
- Mar 14, 2020
- 992
- 1,774
Saccos ya Mbowe
Akemee wamkate makende 😂Jinga kabisa hili lizee! Hao wapinzani wamedhulumiwa haki zao kibabe hukuona hilo hata kukemea umeshindwa.
Ile video tajufu mnayoonekana mkichoma moto ushahidi, siyo?yale maamuzi ya wizi wa kura mliyofanya hapo Kawe(ushahidi wa video upo) yalizingatia public interest??
Tunahitaji kujenga taifa la watu wanaoaminiana na kuheshimiana bila kujali itikadi zao. Watumishi wa uma ambao nafasi zao siyo za kisiasa, mfano NEC, TISS, majeshi yote, wataalam kata wizara mbali mbali hawatakiwi kuwa mashabiki wa chama fulani kwa uwazi. Ikionekana hivyo ni sababu tosha ya kuwaondoa kwenye ofisi za uma kwa nchi inayofuata mfumo wa demokrasia ya vyama vingi.Kuiba kura, na NEC na TISS kuvuruga haki ya kikatiba ya wananchi kuchagua viongozi wao ndiyo inaitwa public Interest?
Hiyo siyo public interest ni Jiwe's and his croonies Interest
Hayakuwa maandamano ya amani hata kidogo. Mr Mzungu alishawaambia, Atakuwa halali yetu; Hawatatuua wote, etc. Kwa hiyo hata maandamano hayo hayakuwa maslahi ya umma, ila dirisha tu la vurugu, ghasia & machafuko.Public interest haikuzingatiwa raia walipotaka kuandamana kwa kutoridhishwa na mchakato mzima wa uchaguzi mkuu.
CCM wamepora kura, wamekataza maandamano, halafu wanataka kulazimisha wapinzani washiriki bungeni?Hoja hapa CCM wamepora kura waziwazi...
Hapa ndipo pa kuanzia...hamtaki basi chukueni Bunge, Dola, Mahakama tuone kama mtakuwa na furaha mioyoni mwenu.
Mtu anaandika bandiko reeefu, lakini pointless.Nachoona humu ni matusi na kujikomba kusubiri teuzi.
Hongera ila kumbuka kuna kesho, na maandishi humu aya futiki. Pascal Mayalla