Je, wajua abiria una haki ya fidia endapo basi ulilopanda litapata ajali?

aron lissu

Member
Mar 7, 2019
28
31

Habari ndugu Jf mebers, leo napenda kushare jambo ambalo wengi pengine hawalijui kuhusu fidia za bima kwa abiria wa mabasi.

Ipo hivi, kama ilivyo Sheria ya Tanzania ni lazima chombo cha moto kiwe na bima, hivyo mabasi yote hukata bima na kampuni za bima huwa wanacharge kiasi cha malipo kutokana na aina ya bima, lakini jambo la lazima katika kucharge huko ni kiasi ambacho mwenye basi anatakiwa kulipa, ambapo huwa wanahesabu seat za basi.

Mfano kwa mabasi ya mkoani wanalipa elfu 30 per seat, hivyo basi abiria unakuwa upo secured na bima na pindi ajali ikitokea una haki ya kulipwa fidia.​
 
Elezea kifungu cha sheria kinachomlinda abiria ikitokea la kutokea basi alipwe

elezea aina za ajali ambazo zikitokea basi abiria alipwe

elezea Vigezo na masharti ambavyo abiria husika akivifikisha atalipwa fidia

elezea mahali husika pa kupeleka madai hayo ili abiria aweze kupata haki yake

Elezea....
 
Elezea kifungu cha sheria kinachomlinda abiria ikitokea la kutokea basi alipwe

elezea aina za ajali ambazo zikitokea basi abiria alipwe

elezea Vigezo na masharti ambavyo abiria husika akivifikisha atalipwa fidia

elezea mahali husika pa kupeleka madai hayo ili abiria aweze kupata haki yake

Elezea....
Mkuu akikujibu nitagg kwaeshima yako
 
Nguvu kubwa inayotumiwa na polisi barabarani kuhakikisha kila chombo kina bima ilifaa kutumika pia kuhakikisha makampuni ya bima yanalipa madai stahiki na kwa wakati na elimu watoe pia kwa wananchi.

Haina maana kulazimisha watu kuwa na bima ilhali ikitokea ajali bima haiwajibiki kikamilifu kisa wahanga hawana ufahamu.
 
Elezea kifungu cha sheria kinachomlinda abiria ikitokea la kutokea basi alipwe

elezea aina za ajali ambazo zikitokea basi abiria alipwe

elezea Vigezo na masharti ambavyo abiria husika akivifikisha atalipwa fidia

elezea mahali husika pa kupeleka madai hayo ili abiria aweze kupata haki yake

Elezea....
kwa sheria ya bima ya vyombo vya moto sura 169 kifungu namba 4(1) kinatoa haki ya ulinzi kwa mtu wa tatu kutokana na ajali,
vigezo vinavyohitajika kwa abiria ili aweze kupatiwa fidia ni pamoja na
  • tiketi ya safari.( kama imepotea kutokana mazingira ya ajali basi ataje majina yake halisi kwa police ili awepo kwenye list ya majeruhi)
  • cheti cha matibabu ya hospitali
  • fomu ya polisi (PF3)
  • gharama zilizotumika
  • PF90
  • PF115
  • Cheti cha kifo( kama unadai kwaaajili ya ndugu alaiepoteza uhai) abiria atafungua kesi ya madai mahakamani dhidi ya dereva na mmiliki wa basi na hizo taarifa atahitajika aziwasilishe kwenye kampuni ya bima ambalo basi husika lilikata bima
 
Si kweli kuwa wanahesabu seat. Kiwango cha bima (third party) hutegemea cc na aina ya gari. Ni kweli bima inapaswa ilipe fidia abiria, changamoto ni mchakato mrefu mpaka utakapolipwa!
hapana mkuu, iwe bima ndogo ama kubwa swala kuhesabu siti ni lazima, mfano kwahio third party kwa mabasi ya mkoani ni elfu 30 per seat then total ya seats zidisha kwa hio hela plus VAT 18% ndo kiasi anacholipa
 
Nguvu kubwa inayotumiwa na polisi barabarani kuhakikisha kila chombo kina bima ilifaa kutumika pia kuhakikisha makampuni ya bima yanalipa madai stahiki na kwa wakati na elimu watoe pia kwa wananchi.

Haina maana kulazimisha watu kuwa na bima ilhali ikitokea ajali bima haiwajibiki kikamilifu kisa wahanga hawana ufahamu.
wanalipwa mkuu
 
Elezea kifungu cha sheria kinachomlinda abiria ikitokea la kutokea basi alipwe

elezea aina za ajali ambazo zikitokea basi abiria alipwe

elezea Vigezo na masharti ambavyo abiria husika akivifikisha atalipwa fidia

elezea mahali husika pa kupeleka madai hayo ili abiria aweze kupata haki yake

Elezea....
Hapo ni nyuki mdogo..
Ungekua nyuki mkubwa je 🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nimependa maswali yako mkuu
 
unatakiwa ulipe ila bima inalipa abiria waliokaa kwenye seat ndio maana ni muhimu kutunza tiketi na pia askari wa barabarani inabidi wahahakishe abiria wanakuwa na tiketi
 
kwa sheria ya bima ya vyombo vya moto sura 169 kifungu namba 4(1) kinatoa haki ya ulinzi kwa mtu wa tatu kutokana na ajali,
vigezo vinavyohitajika kwa abiria ili aweze kupatiwa fidia ni pamoja na
  • tiketi ya safari.( kama imepotea kutokana mazingira ya ajali basi ataje majina yake halisi kwa police ili awepo kwenye list ya majeruhi)
  • cheti cha matibabu ya hospitali
  • fomu ya polisi (PF3)
  • gharama zilizotumika
  • PF90
  • PF115
  • Cheti cha kifo( kama unadai kwaaajili ya ndugu alaiepoteza uhai) abiria atafungua kesi ya madai mahakamani dhidi ya dereva na mmiliki wa basi na hizo taarifa atahitajika aziwasilishe kwenye kampuni ya bima ambalo basi husika lilikata bima
MALANGA LANGA this is what you asked for folk.
 
Haki itumike kwa pande zote, abiria, mwenye basi, dereva na kampuni ya bima.

Abiria akipatwa madhara yaliyo nje ya wajibu wake alipwe.

Lakini akipata madhara yaliyo ndani ya wajibu wake alipe.

Mfano 1., ni wajibu wa abiria kuvaa kofia ngumu kwenye boda. Ikitokea ajali akapasuka kichwa akalitia taifa hasara ya foleni CT scan apigwe faini kwa uzembe. Na kama ni maiti ishtakiwe idaiwe!! Lakini akichubuka akavunjika mkono alipwe fidia!

Hujaelewa!? Basi mfano 2.: Kufunga mkanda ndani ya basi ni wajibu wa abiria na ndio kanuni ya usalama. Ikitokea ajali, abiria akachomoka kwenye siti aloambiwa akae akaenda kujibamiza juu na mkanda ulikuwepo ila hakufunga basi apigwe faini.

Mwenye basi amfungulie kesi kwamba 'anataka kuharibu jina la kampuni yangu kuwaambia watu kwamba, katika ajali za basi fulani kutoka mzima ni hatihati'. Fidia hii iende kwa mwenye basi na hapohapo awalipe abiria fidia ya kuwasababishia majeraha kihisia na kimwili kwa ajali. Bima zihusike.
 
Elezea kifungu cha sheria kinachomlinda abiria ikitokea la kutokea basi alipwe

elezea aina za ajali ambazo zikitokea basi abiria alipwe

elezea Vigezo na masharti ambavyo abiria husika akivifikisha atalipwa fidia

elezea mahali husika pa kupeleka madai hayo ili abiria aweze kupata haki yake

Elezea....
 
hapana mkuu, iwe bima ndogo ama kubwa swala kuhesabu siti ni lazima, mfano kwahio third party kwa mabasi ya mkoani ni elfu 30 per seat then total ya seats zidisha kwa hio hela plus VAT 18% ndo kiasi anacholipa
30 kwa kila safari kwa mwezi mwaka?
 
Back
Top Bottom