Katika Jiji la DSM Mabasi yaendayo mikoani kupaki na kupakia abiria kwenye vituo vyao badala ya kupaki na kupakia katika kituo cha Mabasi cha MAGUFULI hilo pia linachangua ajali za barabarani.
Inashangaza Mamlaka husika kama LATRA kuacha kila basi kupaki na kupakia abiria kwenye vituo vyao badala ya kutumia Stendi maalum ya MAGUFULI.
Tunaziomba Mamlaka zipige marufuku kwa basi za abiria kupaki na kupakia abiria nje ya stendi ya magufuli. Basi zote za abiria zipakie abiria kwenye stendi ya Magufuli ili ziweze kukaguliwa na wakaguzi wa Magari.
Matajiri wa mabasi hawapo juu ya sheria, lazima sheria zifuatwe.
Inashangaza Mamlaka husika kama LATRA kuacha kila basi kupaki na kupakia abiria kwenye vituo vyao badala ya kutumia Stendi maalum ya MAGUFULI.
Tunaziomba Mamlaka zipige marufuku kwa basi za abiria kupaki na kupakia abiria nje ya stendi ya magufuli. Basi zote za abiria zipakie abiria kwenye stendi ya Magufuli ili ziweze kukaguliwa na wakaguzi wa Magari.
Matajiri wa mabasi hawapo juu ya sheria, lazima sheria zifuatwe.