Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,882
- 2,109
Chuchu, matiti, nitakupa mama angu yote aliyasema yeye.Uhuru wa kutukana wengine?
Nchi ya matusi ?
Hiyo haipo TZ
Labda ubelgiji
Chuchu, matiti, nitakupa mama angu yote aliyasema yeye.Uhuru wa kutukana wengine?
Nchi ya matusi ?
Hiyo haipo TZ
Labda ubelgiji
Haitawasaidia chochote, mwisho wa siku watakuja kuaibika tu. Hakuna Dikteta anayedumu MILELE.
Hakuna hajaya kutaja tusi lolote katika press conference ya jana maana alisha pigwa ban na vyombo vya habari kwa utovu wa nidham na maneno ya dharau., aliyoyatumia kabla ya jana.komamgo
Hebu nitajie angalau tusi moja, alilolitoa Tundu Lissu katika "Press conference" aliyoifanya hiyo Jana?
Kama usipotaja, ndipo tutaamini maneno aliyotoa Tundu Lissu, kuwa waandishi wa habari na wamiliki wao, wanawaogopa sana akina Dkt Abbas, kuhofia "consequences" zitakazowapata, iwapo tu vyombo vyao vya habari vitampa "coverage" kubwa huyo mgombea Urais toka chama cha Chadema
Pia wanapenda kuweza kwenye ulinzi high spying networksMadikteta wOte Duniani, hakuna hata mmoja, anayependa au kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa maoni.
Wakati wa Mabuto huko DRC, ole chombo cha habari kitangaze habari za mtu yeyote anayemkosoa yeye au Serikali. Ilikuwa hivyo kwa Amin, Bokasa, Nguema, Gadafi, Sadam, n.k.
'...... vyombo vya habari hampo huru kiasi hicho'
Sent using Jamii Forums mobile app
Matusi yamejaa kwa mwenyekiti huwezi angali hotuba zake ukiwa na mkwe wako.Tundu anatukana na kukejeli hilo ni kosa, lakini yeye kuitwa shoga, msaliti, na matusi mengine ni sawa kwa CCM.
Dikteta uchwara.
Agenda yao kuu ni yeye aonekane na media zoteeee. Alfa na Omega.
Huku akiendelea kukandamiza uhuru wa vyombo vya Habari.
Mi simkubali.
Kila anapokwenda, anaambatana na maaskari wengi wenye bunduki za moto, wanaomlinda.....................Pia wanapenda kuweza kwenye ulinzi high spying networks
Mwenyekiti anaruhusiwa kikatiba kumtukana yeyote hata waliookotwa jalalani.Matusi yamejaa kwa mwenyekiti huwezi angali hotuba zake ukiwa na mkwe wako.
TBC walifukuzwa ktk mkutani sasa ea nini tenakomamgo
Hebu nitajie angalau tusi moja, alilolitoa Tundu Lissu katika "Press conference" aliyoifanya hiyo Jana?
Kama usipotaja, ndipo tutaamini maneno aliyotoa Tundu Lissu, kuwa waandishi wa habari na wamiliki wao, wanawaogopa sana akina Dkt Abbas, kuhofia "consequences" zitakazowapata, iwapo tu vyombo vyao vya habari vitampa "coverage" kubwa huyo mgombea Urais toka chama cha Chadema
Mkuu hivyo vyombo havina tatizo, tatizo ni sisi kuendelea kuwafatiliaMgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.
Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!
Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!
Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.
Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Ila waripoti yeye akiitwa kibaraka wa mabeberuHana issue za kuripotiwa , hakuna MTU wa kuripoti matusi na kejeri za muungano . Yeye akazane kuita wenzake , Wajinga, wapuuzi, washamba, Dictator, atukane majina yote lakini hakuna media yeyote itaripoti maneno hayo tena.
Nani aripoiti upumbavu?Mgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.
Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!
Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!
Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.
Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Kuna yule huwa anasema watangulizi wake hawajafanya lolote, ila yeye pekee ndiye anafaa kuwa kiongozi, vp bwana huyo huoni kuwa anaamini kuwa anaweza kila kitu yeye tu?Wewe umesikia tusi?
Kama hukusikia jua walinyofoa (edit)
Hakuna speech asiyotoa bila kuwaita wenzake majina ya ajabu .
Yaani yeye anajua kila kitu, anaweza kila kitu, wenzake wote ni zero, wenzake hawajui chochote. Yaani hata watanzania nao hawajui kabisa , yeye peke yake anajua na anaweza na anaomba mchango kwa lazima.
Nyie kama mna uhakika wa ushindi hiyo pesa ya kukodi wasanii kwa makumi na kubeba watu kwenye mabasi na malori kwanini msiwape masikini? Hivi kwanini mashabiki wa Magufuli huwa ni wajinga sana!Ukweli ndio huo. Ni Bora hiyo pesa ya kukodi Helikopta wasaidie wananchi maskini tu.