Uchaguzi 2020 Je, Vyombo vya Habari hapa nchini vimeripoti "press conference" aliyoifanya mgombea Urais kupitia Chadema, Tundu Lissu?

Swali kwenu CHADEMA, mnatakaje vyombo vya habari viwape coverage wakati last 2 weeks mlifukuza chombo cha habari TBC hadharani tena kwa kuwapa dak 15 wawe wameondoka, sijawahi sikia hata siku moja Chama chochote cha siasa kifukuze chombo cha habari kwa udikteta uliofanya pale Mbagala.. Hapo hamjapewa madaraka, je mkipewa ndi mtafunga na kuua vyombo vya habari, juzi tu mlikuwa mnalilia uhuru wa vyombo vya habari, sasa kwanini mliwafukuza TBC kama wezi au mbwa pale Mbagala ZKM? CHADEMA hamna sera wala mnachosimamia.. Huu uchaguzi JPM will win over 78% of total votes.. Subiri muone
[/QUOTE
K/QUOTE]
 
Mgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.

Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!

Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!

Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.

Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Sasa umeandika nini shehe, tusaidie Sasa Wewe, wameandika au hawajaandika?
 
Sasa umeandika nini shehe, tusaidie Sasa Wewe, wameandika au hawajaandika?
Kwani nilichoandika bado tu hujakielewa wewe kada wa Lumumba?

Au ndiyo unajifanya tu kuwa hujakielewa, ili umridhishie Chakubanga, ili usikose posho yako ya Buku 7 leo jioni pale Lumumba?
 
komamgo
Hebu nitajie angalau tusi moja, alilolitoa Tundu Lissu katika "Press conference" aliyoifanya hiyo Jana?

Kama usipotaja, ndipo tutaamini maneno aliyotoa Tundu Lissu, kuwa waandishi wa habari na wamiliki wao, wanawaogopa sana akina Dkt Abbas, kuhofia "consequences" zitakazowapata, iwapo tu vyombo vyao vya habari vitampa "coverage" kubwa huyo mgombea Urais toka chama cha Chadema
Lengo kubwa la vyombo vya habar Ni biashara,Mara nyingi jamaa kwenye maelezo yake huwa anatumia kauli ambazo tisiaraei eidha wanaweza kukufungia au upigwe fain na ukisema uedit hizo kaul kina Manka wanamaind mwishowe inakua km hivyo
 
Vyombo vya habari vya Tz ni hovyo kabisa na waoga kupindukia, kampeni zinafanywa na vyama vyote lakini ccm ndio inapata coverage peke yake! Shame! shame!
 
Madikteta wOte Duniani, hakuna hata mmoja, anayependa au kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa maoni.

Wakati wa Mabuto huko DRC, ole chombo cha habari kitangaze habari za mtu yeyote anayemkosoa yeye au Serikali. Ilikuwa hivyo kwa Amin, Bokasa, Nguema, Gadafi, Sadam, n.k.

'...... vyombo vya habari hampo huru kiasi hicho'

Sent using Jamii Forums mobile app
Na km ungelikua unaish kwenye zama za hao uliowataja usingethubutu kuandika hiyo comment yako.
 
Mgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.

Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!

Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!

Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.

Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Kama havikurisha mbona mnajua alichoongea
 
Vyombo vya habari vya Tz ni hovyo kabisa na waoga kupindukia, kampeni zinafanywa na vyama vyote lakini ccm ndio inapata coverage peke yake! Shame! shame!
pilipili kichaa
Hivyo vyombo vya habari "vitalazimika" kumuandika Tundu Lissu, kwenye vyombo vyai vya habari, pale atakapopata ushindi mkubwa, kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu!
 
Mgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.

Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!

Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!

Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.

Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
ITV huwa wanatoa habari za vyama vyote kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku.
 
Vyombo vya habari vya Tz ni hovyo kabisa na waoga kupindukia, kampeni zinafanywa na vyama vyote lakini ccm ndio inapata coverage peke yake! Shame! shame!
Amewalipa air time ili wamrushe?
Alipe dakika aone kama hawarushi,
Lakini bado tunamuona youtube sasa hapo hajarushwa.
 
Wewe umesikia tusi?
Kama hukusikia jua walinyofoa (edit)
Hakuna speech asiyotoa bila kuwaita wenzake majina ya ajabu .
Yaani yeye anajua kila kitu, anaweza kila kitu, wenzake wote ni zero, wenzake hawajui chochote. Yaani hata watanzania nao hawajui kabisa , yeye peke yake anajua na anaweza na anaomba mchango kwa lazima.

Maelezo yako utakuwa unachanganya na yanayomhusu jiwe:

Jiwe haamini kama kuna mtu bora kama yeye. Si Tanzania tu, bali dunia nzima. Anadhani hata baba wa taifa si kitu kwake. Wote kina Obama ni watoto wadogo.

Akisikia baba lao anaamini kuwa kweli yeye baba lao.
 
ITV huwa wanatoa habari za vyama vyote kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku.
Vyombo vya habari vya ITV na magazeti yake ya Nipashe, ndiyo vyombo vya habari binafsi vinavyofaa kuigwa na vyombo vingine vya habari hapa nchini..............

Kwa kuwa vyenyewe ndiyo pekee, vimeondoa ile Hofu, Hofu, Hofu aliyoiongelea Tundu Lissu, na wenyewe, ndiyo wamepata ujasiri, wa kuweza kumripoti Tundu Lissu, pamoja na "consequences" ambazo wanajua wanaweza zipata toka kwa akina Dkt Abbas
 
Wewe umesikia tusi?
Kama hukusikia jua walinyofoa (edit)
Hakuna speech asiyotoa bila kuwaita wenzake majina ya ajabu .
Yaani yeye anajua kila kitu, anaweza kila kitu, wenzake wote ni zero, wenzake hawajui chochote. Yaani hata watanzania nao hawajui kabisa , yeye peke yake anajua na anaweza na anaomba mchango kwa lazima.
Kwa heshima na taadhima kwako, unahamisha mada. Mada ni hivi: Je, ni tusi lipi alilonena Lissu kwenye mkutano wake huo wa kupasha habari?
 
Hana issue za kuripotiwa , hakuna MTU wa kuripoti matusi na kejeri za muungano . Yeye akazane kuita wenzake , Wajinga, wapuuzi, washamba, Dictator, atukane majina yote lakini hakuna media yeyote itaripoti maneno hayo tena.

Dar Mpya imeripoti mkutano mzima....

CHADEMA media TV imeripoti mkutano mzima...

Hata sisi huku Shinyanga tuliufatilia kwa ufasaha kabisa...

The guy was very friendly, calm and understanding...

Amejaa ufahamu na maarifa ya kutosha. Inafurahisha na kutia hamasa kwa kweli...

Don't be so conservative to that extent....

Usijifunike ndani ya pipa au mtungi. Jiachie, fungua akili na ufahamu wako.....

Mfuatilie Tundu Lissu utaongeza maarifa na ufahamu ktk kichwa chako...!!
 
[QUOTni NDIYO"Mystery, post: 36634527, member: 73370"]
Mgombea Urais kupitia CHADEMA jana Jumatano alifanya "Press conference" na Vyombo vya Habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.

Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!

Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!

Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.

Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
[/QUOTE]
Jibu ni
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA jana Jumatano alifanya "Press conference" na Vyombo vya Habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.

Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!

Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!

Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.

Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Ndiyo
 
Kama magazeti ya leo yameendelea kumfanyia "blackout" mgombea huyo wa Urais, basi tutajua kuwa ile Tundu Lissu, aliyoiita Hofu, Hofu, Hofu, iliyowajaa hao waandishi wa habari, kwa hawa watawala "dhalimu" imeendelea kuwatesa waandishi wa habari hao, pamoja na wamiliki wa vyombo vyao vya habari, wakihofia "consequences" zitakazowapata wakiripoti hiyo press conference
Sasa wàandike nini?
Matusi yake?
Kejeri zake?
Kwamba watanzania hawajui kingereza?
Sadaka kweye mikutana yao ili azidi kuwakamua watanzania masikini?
 
Back
Top Bottom