Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,162
- Thread starter
- #41
Swali kwenu CHADEMA, mnatakaje vyombo vya habari viwape coverage wakati last 2 weeks mlifukuza chombo cha habari TBC hadharani tena kwa kuwapa dak 15 wawe wameondoka, sijawahi sikia hata siku moja Chama chochote cha siasa kifukuze chombo cha habari kwa udikteta uliofanya pale Mbagala.. Hapo hamjapewa madaraka, je mkipewa ndi mtafunga na kuua vyombo vya habari, juzi tu mlikuwa mnalilia uhuru wa vyombo vya habari, sasa kwanini mliwafukuza TBC kama wezi au mbwa pale Mbagala ZKM? CHADEMA hamna sera wala mnachosimamia.. Huu uchaguzi JPM will win over 78% of total votes.. Subiri muone
[/QUOTE
K/QUOTE]