Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,940
- 20,401
Wakuu,
Nadhani moja ya sababu za waluo nchini Kenya kumsimamisha Raila Odinga na kuhakikisha anakuwa raisi wa nchi hio ni kwamba Wakikuyu ndio wenye nafasi katika shughuli zote za serikali, biashara, mabenki na mengine yenye kuweka fwedha mifukoni.
Lakini wali-analyse hio situation na kuona kwamba bila kuweka mshinikizo wa kuingia mitaani na kuleta vurugu basi kisingeeleweka.
Lakini sometimes ni njia ambayo inaleta sense kwamba Raila Odinga amekuwa waziri mkuu wa kwanza kutoka katika kabila la wa-Luo.
Kuna harakati zingine katika sehemu kama Darfur, Niger Delta na kwingine ambako watu wanahisi kwamba kabila fulani linatawala "kiakili" makabila mengine.
Sasa tukirudi Tanzania naona kwamba wachaga au watu kutoka Kilimanjaro,wamejitahidi kwa uwezo wao kulingana na "ambitions" zao katika kufanikiwa kimaisha ingawa tuna watu kama Grey Mgonja na Basii Mramba ambao ni wapare na wamejihusisha na UFISADI.
Suluhisho nnaloliona ni kwa mheshimiwa raisi kutoa "executive order" kwamba kuwe na uwiano wa nafasi kwa makabila yote ya Tanzania since hatujawahi kuwa na raisi mnyakyusa, mhaya au mzigua.
Kwa hio iangaliwe ni sehemu gani kuwe na elite ambao ni mchanganyiko wa makabila yote ya Tanzania, kwa mfano katika NEC ya CCM ambako nako kunatuhumiwa kwa UDINI.
Yaani ni kaazi kweli kweli.
Nadhani moja ya sababu za waluo nchini Kenya kumsimamisha Raila Odinga na kuhakikisha anakuwa raisi wa nchi hio ni kwamba Wakikuyu ndio wenye nafasi katika shughuli zote za serikali, biashara, mabenki na mengine yenye kuweka fwedha mifukoni.
Lakini wali-analyse hio situation na kuona kwamba bila kuweka mshinikizo wa kuingia mitaani na kuleta vurugu basi kisingeeleweka.
Lakini sometimes ni njia ambayo inaleta sense kwamba Raila Odinga amekuwa waziri mkuu wa kwanza kutoka katika kabila la wa-Luo.
Kuna harakati zingine katika sehemu kama Darfur, Niger Delta na kwingine ambako watu wanahisi kwamba kabila fulani linatawala "kiakili" makabila mengine.
Sasa tukirudi Tanzania naona kwamba wachaga au watu kutoka Kilimanjaro,wamejitahidi kwa uwezo wao kulingana na "ambitions" zao katika kufanikiwa kimaisha ingawa tuna watu kama Grey Mgonja na Basii Mramba ambao ni wapare na wamejihusisha na UFISADI.
Suluhisho nnaloliona ni kwa mheshimiwa raisi kutoa "executive order" kwamba kuwe na uwiano wa nafasi kwa makabila yote ya Tanzania since hatujawahi kuwa na raisi mnyakyusa, mhaya au mzigua.
Kwa hio iangaliwe ni sehemu gani kuwe na elite ambao ni mchanganyiko wa makabila yote ya Tanzania, kwa mfano katika NEC ya CCM ambako nako kunatuhumiwa kwa UDINI.
Yaani ni kaazi kweli kweli.