Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
subutu! watu watamtafta kwa mikuki na mienge.......
Mikuki na mienge inavuka maji?
subutu! watu watamtafta kwa mikuki na mienge.......
lakini si ameeleweka?Na wewe nawe....sio subutu bana ni thubutu....we kabila gani wewe?
ahaaaaaa, ok! lakini unakubali kuwa mchaga yeyote hafai kugombea urais kwa jinsi walivyoonyesha mbegu ya ukabila ka ilivyoelezwa kwenye thread hii?
Mama,
Mimi nasema wanafaa kwani kuna wachaga ambao wana maadili mema na wanachukia hii dhambi ya ukabila and they dont entertain it ata all.So ukisema hawafai utakua umefanya collective judgement mama
Na wewe nawe....sio subutu bana ni thubutu....we kabila gani wewe?
Na wewe nawe....sio subutu bana ni thubutu....we kabila gani wewe?
Mimi siyo Mchagga lakini Mzazi wangu moja ni Mchagga. Watanzania inabidi tuache mipango ya ukabila na tufikirie zaidi uwezo na elimu ya mtu. Wachaga hawapendelewi bali wanafanya kazi kwa bidii mfano angalia idadi ya Wachaga na Wapare wenye CPA,PHD, LAWYERS kupita huko kila mtu ana nafasi sawa hivyo kama unataka kufanikiwa soma na faulu kama hawa wachaga badala ya kulalamika. Kama mnaomba kazi watu wanne na Wachaga ni watatu kunauwezekano mkubwa wa mchaga kuchukuliwa na si kwa ukabila lakini kwa qualifications. Biashara je inaupendeleo nayo!! tukianza kutoa kazi kikabila ufanisi utapungua.Je tungekuwa na raisi Mchaga tungesema nini?
Mimi nasema wanafaa kwani kuna wachaga ambao wana maadili mema na wanachukia hii dhambi ya ukabila and they dont entertain it ata all.So ukisema hawafai utakua umefanya collective judgement mama
Ben, hebu nipe mfano wa kiongozi wa juu mchaga ambaye ni safi. Maana umekuwa mpole kama mtetezi wa Mbowe maskini.
lakini si ameeleweka?
Ben, hebu nipe mfano wa kiongozi wa juu mchaga ambaye ni safi. Maana umekuwa mpole kama mtetezi wa Mbowe maskini.
Mi mchagga...na nimeandika hivyo makusudi kabisa ili kutia 'vionjo' vya kichaga
On a serious note,
Nawaomba mamods hii thread ifunguwe, itupwe kapuni for good. Na Mwanakijiji afungiwe walau kwa wiki moja.
Mwanakijiji, pamoja na kupendekeza ufungiwe bado hutatakiwa uingie JF manake najua uchagani haoakwepeki.....bisha..!
mamod hilo ndo wazo langu jamani......
Mikuki na mienge inavuka maji?
Na wewe nawe....sio subutu bana ni thubutu....we kabila gani wewe?
Wengi lakini hawavumi kutokana na humble lifestyle zao.....si unajua ulimbukeni wetu, we dont notice wasio na makeke.....
Tanzanianjema