Mama,
Kuna kama akina Dk.cyril Chami aliyekua deputy wa Bernard Membe,kuna akina Aggrey Mwamri ambae hata watu kutoka opposition walimkubali huyu jama ni mzalendo kweli kweli,rejea post ya Zitto kwenye ile thread iliyokua inawajadili akina Dk.Salim.
wengine walioko kama wangekua wachafu ni lazima wangekua wameshatangazwa kama Mramba.
hao ni 0.000000101010% ya wachaga. Any way thanks kwa mfano huo, Chami ni mchaga wa Marangu ndo akawa msafi eeh? Na Mwanri ni wa Siha, inakuwaje kule Sanya wakafisadi misitu yote na yeye kanyamaza tu, au ndio kulinda heshima ya sirikali?