GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,553
- 108,889
Kwa nchi nyingi tu ( siyo Tanzania ) huwa naona kuanzia Marais wao, Makamu wao wa Rais na Mawaziri Wakuu wao huwa wana 'lundo' la Walinzi ( Bodyguards ) wakiwalinda.
Nikiamini kabisa kuwa hapa JamiiForums kuna Wajuvi ( Pundits ) wa 'Sekta' hii au hata 'Wahusika' wenyewe leo wataweza kunisaidia 'Kunielimisha' Mimi 'Ngumbaru' kwa hili Swali langu.
Je, hawa Walinzi ( Bodyguards ) wa Marais, Makamu wa Rais na Mawaziri Wakuu wa nchi nyingi duniani ( siyo Tanzania ) huwa na uwezo sawa wa Kimedani ( Kimbinu ) au hutofautiana ( huzidiana ) kulingana na 'Vyeo' vya Wahusika?
Nasubiri sana Majibu yenu ili nielimike.
Nikiamini kabisa kuwa hapa JamiiForums kuna Wajuvi ( Pundits ) wa 'Sekta' hii au hata 'Wahusika' wenyewe leo wataweza kunisaidia 'Kunielimisha' Mimi 'Ngumbaru' kwa hili Swali langu.
Je, hawa Walinzi ( Bodyguards ) wa Marais, Makamu wa Rais na Mawaziri Wakuu wa nchi nyingi duniani ( siyo Tanzania ) huwa na uwezo sawa wa Kimedani ( Kimbinu ) au hutofautiana ( huzidiana ) kulingana na 'Vyeo' vya Wahusika?
Nasubiri sana Majibu yenu ili nielimike.