johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Pamekuwa na Tabia ya Mawaziri kujimwambafy Kwamba wao ni Wawakilishi wa Rais wa JMT, hiyo si kweli wao ni Wasaidizi tu
Endapo Waziri anatoka katika fungu la 10 la Wabunge wa kuteuliwa na Rais wa JMT basi Huyo ruksa kujimwambafy
Mabalozi, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya ndio Wanamwakilisha Rais
Tunakumbushana tu, samahani lakini 😂
Endapo Waziri anatoka katika fungu la 10 la Wabunge wa kuteuliwa na Rais wa JMT basi Huyo ruksa kujimwambafy
Mabalozi, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya ndio Wanamwakilisha Rais
Tunakumbushana tu, samahani lakini 😂