chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,662
Hiyo ndio hadhi ya Makonda kwa Sasa.
Ameanza kazi rasmi, na ameanza kwa kumpangia kazi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, moto ni uleule kwa Makamu wa Rais, Sasa akifika kule wilayani na mikoani, wakuu wa huko wajipange.
OCD na RPC, msiache kutembea na pingu, amri yoyote inaweza kutolewa.
Chongolo, endelea kukaa Chocho, you are a ceremonial Secretary General.
PM, una miezi sita tu kabla Makonda hajaandika memo kwa SSH.
Ameanza kazi rasmi, na ameanza kwa kumpangia kazi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, moto ni uleule kwa Makamu wa Rais, Sasa akifika kule wilayani na mikoani, wakuu wa huko wajipange.
OCD na RPC, msiache kutembea na pingu, amri yoyote inaweza kutolewa.
Chongolo, endelea kukaa Chocho, you are a ceremonial Secretary General.
PM, una miezi sita tu kabla Makonda hajaandika memo kwa SSH.