Je, unajua mkoa wako umepanga kufanya nini katika dira ya maendeleo ya taifa 2025-2050? Ni muhimu wakuu wetu wafanye wasilisho katika media ili tujue?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,009
20,683
Taifa linatarajia kuwa na mpango wa maendeleo wa miaka 25, 2025-2050. Mpango huu naona kama haupati kutangazwa vya kutosha kwa wananchi ili wajue mkoa/wilaya yao inatakiwa kuwa namna gani katika kipindi cha miaka 25 ijayo.

Wakijua ndipo watahoji kwa nini miaka 25 imepita na hakuna lililofanyika.

Kwanza nilitarajia mjadala wa kisomi ungeendeshwa na wasomi wetu kuujadili mpango wa maendeleo unaokwisha muda wake ili kujua ulivyofanikiwa, na ulipata changamoto zipi, na zinatatuliwaje na mpango mpya wa maendeleo.

Bahati mbaya hakuna mjadala wowote ule, hata REPOA kwa sasa imepoa, watu wa elimu, vyama vya wakulima, NGO na wengine "hawasemi" sana siku hizi. Vyama vya siasa vyenyewe vinawaza madaraka tu, vinaimba katiba kama vile itachapisha hela.

Binafsi ningependa kila mkuu wa mkoa afanye presentation katika television au media ya mkoa, lengo iwe kuonyesha katika mkoa wake na wilaya zake, wamepanga dira gani katika miaka 25, na waivunjevunje katika miaka mitano mitano.

Na kila waziri pia afanye hivyo.
 
Taifa linatarajia kuwa na mpango wa maendeleo wa miaka 25, 2025-2050. Mpango huu naona kama haupati kutangazwa vya kutosha kwa wananchi ili wajue mkoa/wilaya yao inatakiwa kuwa namna gani katika kipindi cha miaka 25 ijayo.

Wakijua ndipo watahoji kwa nini miaka 25 imepita na hakuna lililofanyika.

Kwanza nilitarajia mjadala wa kisomi ungeendeshwa na wasomi wetu kuujadili mpango wa maendeleo unaokwisha muda wake ili kujua ulivyofanikiwa, na ulipata changamoto zipi, na zinatatuliwaje na mpango mpya wa maendeleo.

Bahati mbaya hakuna mjadala wowote ule, hata REPOA kwa sasa imepoa, watu wa elimu, vyama vya wakulima, NGO na wengine "hawasemi" sana siku hizi. Vyama vya siasa vyenyewe vinawaza madaraka tu, vinaimba katiba kama vile itachapisha hela.

Binafsi ningependa kila mkuu wa mkoa afanye presentation katika television au media ya mkoa, lengo iwe kuonyesha katika mkoa wake na wilaya zake, wamepanga dira gani katika miaka 25, na waivunjevunje katika miaka mitano mitano.

Na kila waziri pia afanye hivyo.

Ushauri mzuri sanaa
 
Safi sana ,kwanza akusanye maoni katoka kwa wadau wa maendeleo katikw mkoa wake .

Hao wakuu wa mikoa ni watu baki siku zote labda kahamishwa hata mwaka hana mkoa husika ,lazima atafute wazawa wanaojielewa ajadili nao apate mbili tatu .

Binafsi mimi napenda kuishi katika mkoa wangu wa asili maana fursa nazijua .
 
Taifa linatarajia kuwa na mpango wa maendeleo wa miaka 25, 2025-2050. Mpango huu naona kama haupati kutangazwa vya kutosha kwa wananchi ili wajue mkoa/wilaya yao inatakiwa kuwa namna gani katika kipindi cha miaka 25 ijayo.

Wakijua ndipo watahoji kwa nini miaka 25 imepita na hakuna lililofanyika.

Kwanza nilitarajia mjadala wa kisomi ungeendeshwa na wasomi wetu kuujadili mpango wa maendeleo unaokwisha muda wake ili kujua ulivyofanikiwa, na ulipata changamoto zipi, na zinatatuliwaje na mpango mpya wa maendeleo.

Bahati mbaya hakuna mjadala wowote ule, hata REPOA kwa sasa imepoa, watu wa elimu, vyama vya wakulima, NGO na wengine "hawasemi" sana siku hizi. Vyama vya siasa vyenyewe vinawaza madaraka tu, vinaimba katiba kama vile itachapisha hela.

Binafsi ningependa kila mkuu wa mkoa afanye presentation katika television au media ya mkoa, lengo iwe kuonyesha katika mkoa wake na wilaya zake, wamepanga dira gani katika miaka 25, na waivunjevunje katika miaka mitano mitano.

Na kila waziri pia afanye hivyo.
Mkuu wa mkoa (ambaye sio mzawa) hawezi kuwa na shauku kubwa ya maendeleo ya mkoa. Hilo lingewezekana kama tungekuwa na mfumo wa majimbo, ambapo raia wangewachagua viongozi wanaowataka, na ambao ni wazawa wenye uchungu na eneo lao. Wakuu wa mikoa/wilaya hawa wa kuteuliwa wanaweza kuwa kikwazo badala ya kichocheo cha maendeleo. Kwa mtu mwenye uhuru wa kufikiria anajua wazi ni, eg, Sabaya hakuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya Hai ili akasimamie maendeleo, bali ilikuwa sehemu ya ule mpango wa magufuli wa kuuwa Chadema.
 
Siyo media wakuu wa Wilaya na DEDs wasingekuwa makanda walipaswa wafanye midahalo ya kutosha kwa kila kijiji/mtaa
 
Taifa linatarajia kuwa na mpango wa maendeleo wa miaka 25, 2025-2050. Mpango huu naona kama haupati kutangazwa vya kutosha kwa wananchi ili wajue mkoa/wilaya yao inatakiwa kuwa namna gani katika kipindi cha miaka 25 ijayo.

Wakijua ndipo watahoji kwa nini miaka 25 imepita na hakuna lililofanyika.

Kwanza nilitarajia mjadala wa kisomi ungeendeshwa na wasomi wetu kuujadili mpango wa maendeleo unaokwisha muda wake ili kujua ulivyofanikiwa, na ulipata changamoto zipi, na zinatatuliwaje na mpango mpya wa maendeleo.

Bahati mbaya hakuna mjadala wowote ule, hata REPOA kwa sasa imepoa, watu wa elimu, vyama vya wakulima, NGO na wengine "hawasemi" sana siku hizi. Vyama vya siasa vyenyewe vinawaza madaraka tu, vinaimba katiba kama vile itachapisha hela.

Binafsi ningependa kila mkuu wa mkoa afanye presentation katika television au media ya mkoa, lengo iwe kuonyesha katika mkoa wake na wilaya zake, wamepanga dira gani katika miaka 25, na waivunjevunje katika miaka mitano mitano.

Na kila waziri pia afanye hivyo.
Chanzo kikuu cha umaskini wetu ni mifumo yetu ya ovyo ya uendeshaji nchi.
Yaani kwanini watu wa mkoa/maeneo husika wasiwe mstari wa mbele kujiwekea mikakati yao ya maendeleo BALI wanasubiria wateule wenye agenda zao kutoka Dodoma??
 
Taifa linatarajia kuwa na mpango wa maendeleo wa miaka 25, 2025-2050. Mpango huu naona kama haupati kutangazwa vya kutosha kwa wananchi ili wajue mkoa/wilaya yao inatakiwa kuwa namna gani katika kipindi cha miaka 25 ijayo.

Wakijua ndipo watahoji kwa nini miaka 25 imepita na hakuna lililofanyika.

Kwanza nilitarajia mjadala wa kisomi ungeendeshwa na wasomi wetu kuujadili mpango wa maendeleo unaokwisha muda wake ili kujua ulivyofanikiwa, na ulipata changamoto zipi, na zinatatuliwaje na mpango mpya wa maendeleo.

Bahati mbaya hakuna mjadala wowote ule, hata REPOA kwa sasa imepoa, watu wa elimu, vyama vya wakulima, NGO na wengine "hawasemi" sana siku hizi. Vyama vya siasa vyenyewe vinawaza madaraka tu, vinaimba katiba kama vile itachapisha hela.

Binafsi ningependa kila mkuu wa mkoa afanye presentation katika television au media ya mkoa, lengo iwe kuonyesha katika mkoa wake na wilaya zake, wamepanga dira gani katika miaka 25, na waivunjevunje katika miaka mitano mitano.

Na kila waziri pia afanye hivyo.
Uko sahihi sana. Watu tunaenda tu blindly hatujipimi performance.
 
Back
Top Bottom