Nahitaji kwenda kusoma NIT ili nipate cheti cha udereva halali ambacho kitakua na leseni ya C1, C2 na C3
Je ada yao pale ni Tshs ngapi, kozi inachukua muda gani mpaka kumaliza na kupata cheti na je ni vitu gani watahitaji kwa upande wangu ili kuruhusiwa kusoma
Natanguliza shukrani kwa watakaonijibu kwa ufasaha ambao wana uzoefu au washawahi kupita pale
Ahsante
Je ada yao pale ni Tshs ngapi, kozi inachukua muda gani mpaka kumaliza na kupata cheti na je ni vitu gani watahitaji kwa upande wangu ili kuruhusiwa kusoma
Natanguliza shukrani kwa watakaonijibu kwa ufasaha ambao wana uzoefu au washawahi kupita pale
Ahsante