Ephraim fundi umeme
Member
- Jan 23, 2020
- 13
- 6
Hello!
Habari za usiku wakuu, poleni na hongereni kwa mapambano ya kila siku.
Leo nimekuja kwenye jukwaa hili niombe ushauri ambao unaweza ukanisaidia mimi na watakaokuja huko baadae.
Mimi ni kijana umri miaka 24 elimu yangu niyakawaida tu baada ya secondary chuo cha umeme (VTC) na kwabahati nzuri nilipata cheti cha level 2 (Vc²).
Sasa baada ya hapo nikafanya kazi na kampuni moja ya kufunga cctv camera kwa mwaka 1 na kisha kufanya kazi na kampuni moja ya sola hapa mjini dar es salaam kwa takribani miaka 2½.
Maslai kwenye hio kampuni yalikuwa mazuri tu lakini kuna wakati ukafika mambo yakabadilika kabisa nikawaza kwa muda unavyozidi kwenda huko mbele hakutakuwa kuzuri kabisa basi nikajidunduliza ili nisome driving kisha nipate cheti ili niweze kupata leseni.
To make story short napenda sana kazi ya udereva, toka zamani nakuwa. Kila nikiwa barabarani hizi gari zimeandikwa (IT) natamani siku moja nifanye kazi ya kusafirisha hizi gari na mimi.
Je, Chuo gani bora naweza pata nikasima na baada ya kusoma nikapata usaidizi wakupata connection nikafanya kazi na hizi (IT) its my dream yani kuna muda huko barabarani nikama naonaga hizo gari zenyewe tu kila wakati.
Ahsante sana wakuu!
Habari za usiku wakuu, poleni na hongereni kwa mapambano ya kila siku.
Leo nimekuja kwenye jukwaa hili niombe ushauri ambao unaweza ukanisaidia mimi na watakaokuja huko baadae.
Mimi ni kijana umri miaka 24 elimu yangu niyakawaida tu baada ya secondary chuo cha umeme (VTC) na kwabahati nzuri nilipata cheti cha level 2 (Vc²).
Sasa baada ya hapo nikafanya kazi na kampuni moja ya kufunga cctv camera kwa mwaka 1 na kisha kufanya kazi na kampuni moja ya sola hapa mjini dar es salaam kwa takribani miaka 2½.
Maslai kwenye hio kampuni yalikuwa mazuri tu lakini kuna wakati ukafika mambo yakabadilika kabisa nikawaza kwa muda unavyozidi kwenda huko mbele hakutakuwa kuzuri kabisa basi nikajidunduliza ili nisome driving kisha nipate cheti ili niweze kupata leseni.
To make story short napenda sana kazi ya udereva, toka zamani nakuwa. Kila nikiwa barabarani hizi gari zimeandikwa (IT) natamani siku moja nifanye kazi ya kusafirisha hizi gari na mimi.
Je, Chuo gani bora naweza pata nikasima na baada ya kusoma nikapata usaidizi wakupata connection nikafanya kazi na hizi (IT) its my dream yani kuna muda huko barabarani nikama naonaga hizo gari zenyewe tu kila wakati.
Ahsante sana wakuu!