driving

  1. Jackpiano

    JamiiForums Tanzania Upgrading driving licenses classes (kutoka B na D kwenda c1,c2 na c3

    Topic: Upgrading Driving License Classes (Kutoka B na D kwenda C1, C2, na C3) Habari wakuu, Ningependa kujua kwa undani process za kuongeza madaraja ya leseni ya udereva. Kwa sasa nina madaraja ya B na D, lakini nataka kuongeza C1, C2, na C3 ili niweze kuendesha magari yenye madaraja ayo niliyo...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huduma Kenya Announces Plans to Contact Driving Licence, ID, and Birth Certificate Applicants

    The government has issued a fresh announcement, revealing how applicants will be contacted once their driving licences, national identity cards (IDs), and birth certificates are ready. In a brief notice on Thursday, February 12, Huduma Kenya disclosed that members of the public who applied for...
  3. Amani Girls Organization

    JamiiForums Tanzania Driving Change, Inspiring Action: Men as Allies

    The Challenge Approximately one-quarter of Tanzanian women will experience sexual violence before the age of 18, and in a National cross-sectional survey conducted with ~15,000, 15–24-year-old adolescent girls and young women, there was a reported 43% lifetime prevalence of transactional...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya katiba na mifumo ya nchi hayaepukiki: Madereva 70 toka Tanzania wenye vyeti toka NIT wafeli mtihani wa driving Doha, Qatar

    Wakati raia wengi wakitaka mabadiliko kuanzia kwenye katiba na mifumo mingine inayoongoza nchi ili kuendana na mabadiliko ya science na technologia, Watanzania 70 wamejikuta wakishindwa usahili wa kuendesha magari ya kisasa aina ya VOLVO nchini Qatar na kubaki wakishangaa. Hayo yamesemwa na...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Naitwa Fredy Gendo, nipo Kilimanjaro Moshi, natafuta kazi nimesomea uongozi wa biashara ngazi ya cheti na nina VIP katika upande wa udereva, naomba msaada wenu wadau, barikiwa.
  6. SirAlfred006

    JamiiForums Tanzania Driving

    Madereva wa masafa marefu, mpo.. ?
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Sheria na Kanuni za Usalama Barabarani Tanzania zinasema nini kuhusu Self Driving cars?

    Kwa kasi ya ukuaji wa teknolojia kwenye tasnia ya magari, self driving cars sio muda itakua kitu cha kawaida. Kwa nchi za wenzetu, wameshajipanga kwa ilo na kua na sheria na miongozo mbalimbali ya self driving cars. Wana sheria zitakazo solve migogoro endapo itatokea ajali, kutakua na...
  8. bushoke wa dar

    JamiiForums Tanzania wakuu nashida na kazi

    kijana wa miaka 22 pia nnalesen ya udereva class d nimeish form 4 ila nahitaji kazi yoyote kwa sasa ya kujikimu kwa sasa .... natanguliza shukrani zangu za dhati.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nina leseni ya driving gari ndogo (sio class C) na nime-renew tangu 1990, leo hii nakataliwa ku-renew eti sina cheti!

    Hii nchi sasa imefikia kuwa na watawala wa kipumbavu sana. Nimekuwa na leseni ya kuendesha gari kwa miaka 34, na siku zote nimekuwa niki-renew bila tatizo. Leo hii nataka ku-renew TRA wananiambia mambo ya cheti cha udereva, shule sijui, nenda polisi na utumbo mwingi wa kuku kibudu. Hivi hawa...
  10. E

    JamiiForums Tanzania Driving lences

    Imepote
  11. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania Usalama barabarani, vipi tukiweka camera black box na audio driving route recorder kwenye basi kama ndege

    Ikitokea ajali wanaangalia kamera za ndani na nje. Kamera ziwepo kama tatu. 1. Kuonesha mbele inapoenda 2. Kuonesha dereva anavyoact (hii irekodi na sauti - cockpit voice recorder 3. Iwe kwa abiria kiujumla kwa ajili ya usalama. Tumechoka kuambiwa tu, mwendokasi, sijui kona kali ndio sababu...
  12. TTCC_TECNO

    JamiiForums Tanzania Youth are technology game changers

    Youths are the technology game changers. They're creative and skilled with digital tools, making big changes in industries and society. With technology and global connections, they're breaking old rules, creating new ideas, and changing how things work in many areas. The power of young people...
  13. 13hadithi

    JamiiForums Tanzania Aina za leseni za udereva

    What are the categories of driving licenses? Motor cycles A - License to drive motor cycles with or without a sidecar and whose capacity exceeds 125cc or 230kg. A1 - Licenses to drive motor cycles without sidecar and whose capacity is less than 125cc or 230kg. A2 – License to drive motor...
  14. A

    JamiiForums Tanzania The US has urged Ukraine to halt attacks on Russia’s energy infrastructure, warning that the drone strikes risk driving up global oil prices.

    * The US has urged Ukraine to halt attacks on Russia’s energy infrastructure, warning that the drone strikes risk driving up global oil prices and provoking retaliation, according to three people familiar with the discussions* . The repeated warnings from Washington were delivered to senior...
  15. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania Honestly it seems they are driving us to mass suicide

    By:A Palestinian living in the bombed-out Gaza concentration camp 29January 2024 So here we are Palestinians living in a Paradise known as Gaza … … … while the rest of the world, jealous of our gorgeous accommodations, does everything humainly ( devilishly of course) possible to steal away our...
  16. Jumanne Mwita

    JamiiForums Tanzania Hata kama unajua ni muhimu kujikumbushia nakuletea - basic driving test

    BASIC DRIVING TEST 1. Taja makundi ya alama za barabarani 2. Taja maeneo ambayo dereva haruhusiwi kuegesha gari 3. Chora mchoro wa alama ya onyo/Tahadhari ikionyesha watu wenye mtindio wa akili wapo eneo hili. 4. Taja matumizi ya taa za barabarani pia eleza kazi ya kila rangi ya...
  17. Samatime Magari

    JamiiForums Tanzania Je, umesikia habari za Uhakiki wa Leseni na Cheti Uliposomea Driving kwa Madereva ?

    Je unajua kwamba kwa sasa ukitaka kurenew leseni ni mpaka uwe na cheti cha udereva, Yani cheti cha uliposomea udereva, sasa kama leseni ilikufata nyumbani jiandae. Sasa naweza jiuliza hii issue imetokea wapi, iko hivi.. . Duru zinasema kuna mwamba mmoja maarufu kwenye ndondi alikua anapiga...
  18. masopakyindi

    JamiiForums Tanzania Driving enthusiasts, Iyovi endesha ukiwa umetulia!

    Kwa wale wenzangu enthusiasts wa driving stretch ya DSM -Mbeya and beyond. Nimewawekea clip ya sehemu za Iyovi. Sehemu hizi inabidi upende usipende uendeshe kwa adabu, na spidi ndogo. Uki overspeed uendeshe kwa spidi ku overtake malori bila mpango, baasi mabonde hatari na miti na mito...
  19. luangalila

    JamiiForums Tanzania Driving schools nyingi wana magari yamechoka

    Wadau habari zenu KWA utafiti mdogo niliofanya lwa kutazama pindi ninapokuwa njian kutelekeza ktk mishe mishe zangu nimeona driving school nyingi gari za kufundisha unakula body imechokaaaaa ...yaan una shangaa hii gari nayo ina faa kutembe barabarani ? Kuna ka chuo ka wahindi kako upanga...
  20. Daktari wa Manchester

    JamiiForums Tanzania Self driving vehicles are operating on the US roads

    Habari za mda huu.. natumaini wote wazima Kampuni la magari yanayojiendesha marekani(Automatic vehicles) NURO ambalo lilianjishwa California mwaka 2016 limepiga hatua katika kutengeneza automatic self driving vehicles ambazo hizo vehicles zitatumika katika delivery services (grocery...
Back
Top Bottom