Kuna mahali inafika unaona kama dunia haitaki ushirikiano nawe,unaona wote ni kama wamekutenga hakuna anaejali matatizo yako hata wale wa karibu yako hawakuoni.
Unabaki wewe na Mungu wako tu,ni kipindi kigumu kwakila mtu. Tumepita na tunaendelea kupita kwenye changamoto mbalimbali....
Muhimu ni kua karibu na mungu zaidi na atakuvusha salama.
Oops ngoja nirekebishe... ThanksMungu au mungu?
Mungu ni mwema hata mimi naamini ipo siku atatenda miujiza katika maisha yangu.Take heart my brother.!!! Jesus Christ is aware of your situation.
Binafsi, hali hiyo iliwahi kunipata na nilikuwa na rafiki mmoja kwenye mtandao wa kijamii.
Nakumbuka siku hiyo nilikuwa nasali nimepiga magoti kitandani. Baada ya kusali , nikafungua simu, nikaona meseji " xxxx do you have a bank account number? " ... nikamshukuru sana Mungu. Huyu mtu sikumuomba pesa . Akatuma 500USD. Baada ya mwezi tena akatuma 1000USD. Hatujawahi kuongea kwenye simu. Kila nikimpigia simu anakuwa anani avoid. Ni mtu wa Mungu sana. ( Binafsi namuona kama malaika )
Hiyo hali inatokea sana. Na haitakuja kutokea kuisha. Ilishawahi kunitokea aliekuja kunisaidia ni ndugu yangu wa damu. Kila rafiki ninayejaribu kumkopa ananiambia nikakope benki. Baada ya kuwa vizuri nilipunguza marafiki kwa 98%. Sikuona umuhimu wa kuwa na marafiki wa whattsap wakati ukiwa na shida anakukacha.
God (YHWH) is good all the times. His Love, Grace and Mercy are Unfailing!!! He is an Awesome & Wonderful Savior. We must become less and He must become greater, forever and always, in Jesus Christ Name!!! ShalomMungu ni mwema ni Mwema sana!
Ni kweli Ndugu, Ila unajukumu la kutumia "KANK" ili kuipata miujiza yako katika Kristo Yesu. ( Kwa wakati wa Mungu + Mapenzi yake )Mungu ni mwema hata mimi naamini ipo siku atatenda miujiza katika maisha yangu.
wacha zako binti, hiyo ni cha mtoto ... ajira kwani nini? Afya ndo kitu kikubwa sana kwa kila mtumimi bado napitia sijaweza kuchomoka kwenye tatizo la ajira
Amen & Shalom. I receive it , in Jesus Christ Name!!!Pole sana, amini katika imani yako. Ipo siku majaribu yatapita na yatakwisha. Mungu yupo na anatenda miujiza. Kila binadamu atapitia dhiki katika maisha haya ya duniani. Ipo siku yako utabarikiwa tu.
God's time is the Best. Ushuhuda wa Mwanadamu unaruhusiwa, lakini ushuhuda kutoka kwa Mungu ni Bora ZAIDI. Nina amini kwa wakati wake kila mwenye masikio atasikia na mwenye macho ataona , ili Jina la Yesu Kristo liweze kutukuzwa na kuhimidiwa milele.TheMeek Baada ya Kusoma post na reply zako nakuona mpambanaji was imani kama neno linavyosema ktk ufunuo kuwa wakamshinda shetani kwake ushuhuda (testimony) na damu ya mwanakondoo . sasa kwa maombi damu ( wokovu ) umeshamshinda lakini nikuombe pia umshinde kwa ushuhuda wengine pia wajue kuwa Kristo anaweza. Yote. Ktk Yote kupitia ushuhuda wako Bwana atatukuzwa si unakumbuka kufufuliwa kwake Lazaro kulivowavuta wengi kwa Yesu .ni mategemeo yangu utupe your testimony asante.
Kuhusu Afya, siri ni kupanda mbegu ya Neno la Mungu katika Mwili wako.wacha zako binti, hiyo ni cha mtoto ... ajira kwani nini? Afya ndo kitu kikubwa sana kwa kila mtu
Kila MTU anaweza kusema "Mungu". Kuna Mungu wengi sana. Muhimu ni kumtambua Mungu wa Kweli ( tena umtambue personally na Jina lake halisi)dah acha kabisa ila Mungu ndio kimbilio kuu
JEHOVAH AU MWINGINE?Kila MTU anaweza kusema "Mungu". Kuna Mungu wengi sana. Muhimu ni kumtambua Mungu wa Kweli ( tena umtambue personally na Jina lake halisi)
Siku ukimtambua, Hakika nakwambia kweli. Jina lake lina Nguvu sana. Na ukimuita Atakuitikia! ( Jeremiah 33:3)
Reason; Kazi za Shetani ( Steal, Kill, Destroy) destinies za watu + maisha yao.for sure tunazidi kujifunza mengi, mbona jf kama inawatu wengi ambao tunafanana lfe style guys? maana kila mtu analalama jamani.