Je, umeshawahi pitia maisha magumu?

Je, umeshawahi pitia maisha magumu?

Naam... Paulo anasema na Wafilipi.

"Si kwamba nasema haya kwa kuwa nina mahitaji; maana nimejifunza kuwa radhi na hali yo yote niliyo nayo.
12 Najua kudhiliwa, tena najua kufanikiwa; katika hali yo yote, na katika mambo yo yote, nimefundishwa kushiba na kuona njaa, kuwa na vingi na kupungukiwa.
13 Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Ni kweli mtumishi shemkunde ukijaribu kusoma katika matthew 26:36, na 26: 42 .inaonyesha ni jinsi gani Yesu alivyo kuwa kwenye wakati mgumu, alishindwa kabisa, alikuwa anajua nini kilicho mbele yake, Alijua nini uchungu wa majaribu ndo maana kwenye Matthew 26:41 akasema Kesheni mwombe msije ingia majaribuni. Akasema kuwa mara nyingi roho ya mwanadamu inaweza kuvumilia katika majaribu, lakini mwili katika hali ya kibinadamu ni vigumu sana kuvumila majaribu " roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu".
 
Hakuna jaribu lisilo na mlango wa kutokea mkuu,naamini unakopita sasa yatakufanya kua imara zaidi...
Amina dada Valentina napenda sana kuangalia mfano wa Ayubu, Mungu aliangalia Maisha ya Ayubu akaamua kumfanya kama case study kumuonyesha shetani jinsi gani Ayubu alivyo kuwa mcha Mungu. Je sisi wa leo tuko teyari kuwa case study ya Mungu ili aweze kujichukulia utukufu kupitia sisi? Katika kitabu cha Ayubu 1:1 inasema kuwa Ayubu alikuwa Mkamilifu, mwelekevu, mcha Mungu na aliepuka uovu. Je sisi leo tunafiti katika wasifu wa Ayubu? Mungu wa Mbinguini aturehemu.
 
Kutokana na maelezo yako, unavita kubwa katika ulimwengu wa roho, na vita vyako hutashinda kwa nguvu za kimwili. unahitaji maombi maalum ya ukombozi, ndio umeokoka lakini kuna vifungo utakuwa umefungwa kwavyo na inahitaji maombi maalum na ufunuo kwaajili ya kuvi deseable, inaonekana umekuwa ukiomba mara zote bila kujua specific nini cha kuombea, umekuwa ukiomba kwa ajili ya kupata kazi, lakini shida sio katika kupata kazi.

Ni kosa kubwa sana katika maombi kuomba bila target, au kulenga wrong target. kama inashindikana kabisa ni vizuri kuwa na mfungo wa utakaso na maombi katika Roho. ROMANS 8:26-28. MATTHEW 17:21. Ina bidi ufanye mfungo wa maombi kuomba Roho mtakatifu akufunulie ( akuonyeshe) wapi palipo na tatizo ili uweze ku deal direct na chanzo.

Kaa chini tafakari, angalia historia ya maisha yako, ya wazazi wako. kuna mahali palifanyika agano fulani la kiroho? Je kuna jambo wewe ulowahi lifanya ambalo linaweza kuwa sababu ya milango kufungwa? jaribu kuangalia hata yale madogo ambayo unaona ni irrelevant. Fanya sala ya toba ya ukombozi ( special deliverance) na kama kuna mahali kwa namna moja au nyingine unahisi ulifanya jambo ambalo lilimuumiza mtu sana, katengeneze nae, machozi ya mtu ni mabaya sana.
Ndugu, nashukuru sana kwa maelezo yako. Kiufupi, sio kweli kwamba muda wote naomba kwa ajili ya Kazi. Ukweli ni kwamba, toka nimeelewa siri za ufalme wa Mungu hata hamu ya kuajiriwa sina. ( Vyeti huwa naviweka tu mbele za Mungu ili mapenzi yake yatimizwe)

Mara nyingi huwa naomba kwa Rehema za Mungu, Anionyeshe ufalme wake, Anisamehe Makosa yangu, Anipe nguvu na Mamlaka za kufanya vitu hapa Duniani kama huko Mbinguni kwa ajili ya utukufu wake katika Kristo Yesu.

Ndugu, nielewavyo mimi, Mungu wetu ni mwema sana; Yeye yupo tayari kumsamehe Mwanadamu yeyote aliyetayari kuzifuata njia zake katika roho na kweli.

Ni kweli tunatakiwa kupatana na watu + kuishi nao vizuri. Kuna watu kama wakina Paul, walikua wakiwatoa machozi watu wengi sana. Mungu hafanyi Kazi zake kama wanadamu.

Yesu alidhaniwa kuwa kalaaniwa, kafungwa, katupiwa mikosi, n.k ; hivyo hivyo hata kwa kina ayubu na wengine.

Binafsi nafahamu kuwa , tunaishi katika Ulimwengu wa Uovu. Na ili tuweze kuushinda ni lazima kwanza tuutafute Ulimwengu wa Mema na Elimu yake yote. Kwahiyo basi ili tuweze kuyavuka mabaya ni lazima tujiandae ku - suffer, kuwa rejected, kuuliwa na kuwa resurrected kwa ajili ya utukufu wa Mungu.

Mtu yeyote ambae kaamua kweli kuwa karibu na Mungu lazima awe na mind set hiyo.

Kwahiyo basi ninayopitia ni sahihi kabisa mbele za Mungu , na ninafarijika sana kuona ananiongoza katika njia zake, sio kwenye njia za Uovu.

I mean, ningeweza kwenda kwa waganga au kuwa mharifu badala yake.

#GodKnowsTheBest
 
fa710e4fd497636aceb0f947ed52d7b1.jpg


262a5fc3029ce2429d6a9e6b8842d7ae.jpg
 
Amina dada Valentina napenda sana kuangalia mfano wa Ayubu, Mungu aliangalia Maisha ya Ayubu akaamua kumfanya kama case study kumuonyesha shetani jinsi gani Ayubu alivyo kuwa mcha Mungu. Je sisi wa leo tuko teyari kuwa case study ya Mungu ili aweze kujichukulia utukufu kupitia sisi? Katika kitabu cha Ayubu 1:1 inasema kuwa Ayubu alikuwa Mkamilifu, mwelekevu, mcha Mungu na aliepuka uovu. Je sisi leo tunafiti katika wasifu wa Ayubu? Mungu wa Mbinguini aturehemu.
5502501f0a981657acd7c6b7b52da413.jpg
d26358974955a6dbe702ef64aa510274.jpg
5d7c2ca2dd12cdfaa50d279487810ae0.jpg
 
Nina IMANI utafanikiwa ili iwe funso kwa wengine....
DHAHABU lazima ipite motoni
Shukran
Nami pia nina amini hivyo. Let the will of God be done, in Jesus Christ Name. Amen & Shalom
 
Kutokana na maelezo yako, unavita kubwa katika ulimwengu wa roho, na vita vyako hutashinda kwa nguvu za kimwili. unahitaji maombi maalum ya ukombozi, ndio umeokoka lakini kuna vifungo utakuwa umefungwa kwavyo na inahitaji maombi maalum na ufunuo kwaajili ya kuvi deseable, inaonekana umekuwa ukiomba mara zote bila kujua specific nini cha kuombea, umekuwa ukiomba kwa ajili ya kupata kazi, lakini shida sio katika kupata kazi.

Ni kosa kubwa sana katika maombi kuomba bila target, au kulenga wrong target. kama inashindikana kabisa ni vizuri kuwa na mfungo wa utakaso na maombi katika Roho. ROMANS 8:26-28. MATTHEW 17:21. Ina bidi ufanye mfungo wa maombi kuomba Roho mtakatifu akufunulie ( akuonyeshe) wapi palipo na tatizo ili uweze ku deal direct na chanzo.

Kaa chini tafakari, angalia historia ya maisha yako, ya wazazi wako. kuna mahali palifanyika agano fulani la kiroho? Je kuna jambo wewe ulowahi lifanya ambalo linaweza kuwa sababu ya milango kufungwa? jaribu kuangalia hata yale madogo ambayo unaona ni irrelevant. Fanya sala ya toba ya ukombozi ( special deliverance) na kama kuna mahali kwa namna moja au nyingine unahisi ulifanya jambo ambalo lilimuumiza mtu sana, katengeneze nae, machozi ya mtu ni mabaya sana.
Nina Vita kubwa sana katika Ulimwengu wa Roho, kwasababu shetani na majeshi yake yote wananifahamu vizuri sana , that I am a noble person ( A righteous branch and the repairer of the broken walls) ; Naelewa kuwa wanaumiza vichwa sana jinsi ya kunimaliza kwa muda mrefu wameshindwa.

Wakati nazaliwa, nilizaliwa nikatoka na chupa ya uzazi kama mnyama; na hata baada ya kuipasua chupa wakanikuta kondo la uzazi limeniviringa mara tatu shingoni.

Nikiwa na 3 years, niligundulika kuwa ni bubu, nikakatwa karimi.

Baadae nikapata mke mwenye HIV+ na nimeishi nae kwa zaidi ya 8 years bila kupata maambukizi wala watoto wangu kupata maambukizi. What a mighty God.

So nina elewa kuwa Mwili wangu sio wa kawaida, kwasababu ya kuepuka vifo vingi sana. Niliwahi kutekwa na Magaidi zaidi ya mara 2 na hawakuweza kunifanya kitu.

I know the truth, wa haya yote. Sio kwa nguvu zangu.
 
Hapa nina maanisha kufilisika/kufulia kukosa uhakika wakupata angalau chai kwa siku. kutengwa na ndugu. kukosa kazi muda mrefu, Kuugua na watu kukutenga, kukosa kodi ya nyumba./mahali pa kulala, kusingiziwa kwamba hutafuti kazi au kusemwa umelogwa ndugu kusema una laana.

Kukatishwa tamaa kwamba Mungu kakuacha,kwamba unasali uwongo
Kudharauliwa na mambo kama hayo na je?

Uliweza vipi kuchomoka katika hali hiyo?
Kila jambo na wakati wake.....
 
Tumshukuru mungu kwa kila pitio tupitalo..,aidha kwa bahati mbaya au kwa makusudi yetu.,tumshukuru na kutoa sadaka ya shukrani kila inapobidi
 
Haya matatizo niliyopitia na ninayoendelea kuyapitia katika hii miezi ya karibuni, nimegundua kwamba, kufikwa na matatizo ni tatizo ila kukosa mtu wa kushare nae hayo matatizo (hata wa kumhadithia tu) ni tatizo zaidi!

Ila Mungu ndo kila kitu, i ll never lose hope!
Ukimya nao ni mbaya sana
 
Kwann ukiwa katika hali ngumu watu wansajiweka mbal nawe? na wanajisogeza kwa yule alie vizuri kiuchumi,kimaisha etc..
Binaadam tutaacha lini huu unafki?
Mi nshaapa hakyamama siku mtu anikute nashine mwenye pesa asijisogeze kwangu...Sitaki marafiki
watu wengi ndo wenye tabia hizi haswa watu baki (marafiki) ni wanafiki hatari
 
Kutokana na maelezo yako, unavita kubwa katika ulimwengu wa roho, na vita vyako hutashinda kwa nguvu za kimwili. unahitaji maombi maalum ya ukombozi, ndio umeokoka lakini kuna vifungo utakuwa umefungwa kwavyo na inahitaji maombi maalum na ufunuo kwaajili ya kuvi deseable, inaonekana umekuwa ukiomba mara zote bila kujua specific nini cha kuombea, umekuwa ukiomba kwa ajili ya kupata kazi, lakini shida sio katika kupata kazi.

Ni kosa kubwa sana katika maombi kuomba bila target, au kulenga wrong target. kama inashindikana kabisa ni vizuri kuwa na mfungo wa utakaso na maombi katika Roho. ROMANS 8:26-28. MATTHEW 17:21. Ina bidi ufanye mfungo wa maombi kuomba Roho mtakatifu akufunulie ( akuonyeshe) wapi palipo na tatizo ili uweze ku deal direct na chanzo.

Kaa chini tafakari, angalia historia ya maisha yako, ya wazazi wako. kuna mahali palifanyika agano fulani la kiroho? Je kuna jambo wewe ulowahi lifanya ambalo linaweza kuwa sababu ya milango kufungwa? jaribu kuangalia hata yale madogo ambayo unaona ni irrelevant. Fanya sala ya toba ya ukombozi ( special deliverance) na kama kuna mahali kwa namna moja au nyingine unahisi ulifanya jambo ambalo lilimuumiza mtu sana, katengeneze nae, machozi ya mtu ni mabaya sana.
Hili nalo unatakiwa ulitazame kwa macho maneno...,
 
Nina Vita kubwa sana katika Ulimwengu wa Roho, kwasababu shetani na majeshi yake yote wananifahamu vizuri sana , that I am a noble person ( A righteous branch and the repairer of the broken walls) ; Naelewa kuwa wanaumiza vichwa sana jinsi ya kunimaliza kwa muda mrefu wameshindwa.

Wakati nazaliwa, nilizaliwa nikatoka na chupa ya uzazi kama mnyama; na hata baada ya kuipasua chupa wakanikuta kondo la uzazi limeniviringa mara tatu shingoni.

Nikiwa na 3 years, niligundulika kuwa ni bubu, nikakatwa karimi.

Baadae nikapata mke mwenye HIV+ na nimeishi nae kwa zaidi ya 8 years bila kupata maambukizi wala watoto wangu kupata maambukizi. What a mighty God.

So nina elewa kuwa Mwili wangu sio wa kawaida, kwasababu ya kuepuka vifo vingi sana. Niliwahi kutekwa na Magaidi zaidi ya mara 2 na hawakuweza kunifanya kitu.

I know the truth, wa haya yote. Sio kwa nguvu zangu.
Your testimony is beyond imagination. Mungu anakusudi kubwa juu yako.
 
Nina Vita kubwa sana katika Ulimwengu wa Roho, kwasababu shetani na majeshi yake yote wananifahamu vizuri sana , that I am a noble person ( A righteous branch and the repairer of the broken walls) ; Naelewa kuwa wanaumiza vichwa sana jinsi ya kunimaliza kwa muda mrefu wameshindwa.

Wakati nazaliwa, nilizaliwa nikatoka na chupa ya uzazi kama mnyama; na hata baada ya kuipasua chupa wakanikuta kondo la uzazi limeniviringa mara tatu shingoni.

Nikiwa na 3 years, niligundulika kuwa ni bubu, nikakatwa karimi.

Baadae nikapata mke mwenye HIV+ na nimeishi nae kwa zaidi ya 8 years bila kupata maambukizi wala watoto wangu kupata maambukizi. What a mighty God.

So nina elewa kuwa Mwili wangu sio wa kawaida, kwasababu ya kuepuka vifo vingi sana. Niliwahi kutekwa na Magaidi zaidi ya mara 2 na hawakuweza kunifanya kitu.

I know the truth, wa haya yote. Sio kwa nguvu zangu.
That's Bravoo Roger
 
Back
Top Bottom