Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,951
- 183,454
Haya.
Haya.
Mie sio mpigaji bana usinchafue mlimbwende Hawachi
Ndio mnavyofungana mota hivi? Aisee Segerea kupo out of Capacity. Tusitaftiane sababu!Unampa kikombe kimoja cha kisogoni hadi asahau jina lake, wajinga sana.
Hahah mie ni Extrovert jamani, usisahau definition!
Ndio mnavyofungana mota hivi? Aisee Segerea kupo out of Capacity. Tusitaftiane sababu!
Umenikumbusha tulipangisha mpigaji home yaani haipiti wiki kipigo kwa mkewe siku hiyo tunashangaa jamaa analia kama mtoto ndani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣watu wapo dilishani wanauliza humo ndani kwema, mwanamke kimya,kumbe mwanaume kashikwa chini hafulukuti 😄😄😄😄😄Alikwepa lasivyo sijui segerea ingenihusu🙆🙆🙆
Hahah mie ni Extrovert jamani, usisahau definition!
Binafsi siwezi kufanya utoto wa kumsusia mke kama wafanyavyo wale mnaowaona watakatifu! You will need to really grow. Biashara ya kujinunisha kimya mwezi mzima ili ujue kuwa ulichofanya sikupenda huo utoto sifanyi! Nakupa kavu na makofi juu!Kwahiyo hamna adhabu nyingine mbadala ya kumrekebisha mtu mpaka mpige?
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pm kwangu unifundishe ujanja
😁😁😁😁😁 sio vizuri mamaSawa mbutuaji- hilo neno umeniambukiza wewe inakubidi ulipokee tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mama. Alie kuleta....sijawahi mpiga mpenz wangu mpya anapokosea namwambia tu kosa lake alaf tunasolve
japo ananipenda sana mm ata sijampenda kivile
maumivu niliyoyapitia kwenye mapenz
yalinifundisha kupenda kwa kutumia akili sio moyo
hata mke nitakaekuja kuoa sitampenda sana nitampenda kawaida tu kwa kumjali kama binadamu mwenzangu
Anaestahili kupendwa kutoka moyoni ni Mungu pekee maana yeye habadiliki
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha tulipangisha mpigaji home yaani haipiti wiki kipigo kwa mkewe siku hiyo tunashangaa jamaa analia kama mtoto ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu wapo dilishani wanauliza humo ndani kwema, mwanamke kimya,kumbe mwanaume kashikwa chini hafulukuti [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
😁😁😁😁😁We jamaa ni noma
Nimecheka saaana
Hapo nimeona adhabu mbili kavu na kipigo, hamna mbadala mwingine kabisa kwenye kamusi yako?Binafsi siwezi kufanya utoto wa kumsusia mke kama wafanyavyo wale mnaowaona watakatifu! You will need to really grow. Biashara ya kujinunisha kimya mwezi mzima ili ujue kuwa ulichofanya sikupenda huo utoto sifanyi! Nakupa kavu na makofi juu!
Lile linaitwa "Kofi la Uponyaji!"Hebu hukooo...
Mtu anayelia anakuwa na appetite kweeelii
Yani na ntakubatiza mpk lishike hahahaha siwezi kukuzibia nisije kimbiza wachuchu bbuuure[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] sio vizuri mama
😄😄😄😄Mazoea lazima
Tatizo la kavu kuna wale vichwa nati! Unasema jambo hilo hilo kila siku, siku mbili kaacha ya tatu karudia utoto ule ule! Vipi nikashtakie ukweni baada ya hapo?Hapo nimeona adhabu mbili kavu na kipigo, hamna mbadala mwingine kabisa kwenye kamusi yako?
Hiyo kavu ni nzuri asipoelewa ni kipigo mbona zipo mbadala nyingi tu jamani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄😄😄😄😄Kweli aisee tuache umenifungua masikioYani na ntakubatiza mpk lishike hahahaha siwezi kukuzibia nisije kimbiza wachuchu bbuuure
Sent using Jamii Forums mobile app