Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Hahaha na kweli maana nimezama kwa mtoto KhantweHapo nimeona adhabu mbili kavu na kipigo, hamna mbadala mwingine kabisa kwenye kamusi yako?
Hiyo kavu ni nzuri asipoelewa ni kipigo mbona zipo mbadala nyingi tu jamani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app