mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,401
- 23,193
Haha ila huduma ya hapo bondeni ulikuwa unatoa?Nilipoa mama!
Ila wiki nzima nilikuwa ni kulia tuu! Nikiwaza likibao baasi hata hamu ya kula sinaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ila huduma ya hapo bondeni ulikuwa unatoa?Nilipoa mama!
Ila wiki nzima nilikuwa ni kulia tuu! Nikiwaza likibao baasi hata hamu ya kula sinaaa
ha ha ha ha ha lakini bado mko pamojaHiyo nguvu itoke wapi mkuu! Network zilikata
Huwa unafinya na kutusi boss??Achilia mbali kupiga hata kufinya au kutusi.
Hebu hukooo...
Kabisaaa...ha ha ha ha ha lakini bado mko pamoja
[emoji1][emoji1]Kwahyo ndio ningesema nikutokee ungeshikwa na butwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
HongeraAchilia mbali kupiga hata kufinya au kutusi.
Mimi nikiwa na hasira huwa siwezi kuongea kabisa ni kilio ila akiwa mbali nakuwa na ujasiri aibu hamna hapo 😄😄😄Hahaha, wewe ni Mimi kabisaa[emoji23]
Haha huyu alistahiliHamjawahi kukutana na wanawake jeuri nyie,utapiga mtu pasipo kutarajia.
Kabla sijaoa nilikuwa na mawazo kama yenu kwamba napigaje mtu mzima,wakati naweza kumwelewesha na akaelewa.
Nikaoa maisha yakaanza,baada kama mwaka mmoja tukapishana kidogo kwa maneno ya kujazwa na watu,narudi ndani nikiuliza kitu ananijibu dry tu,basi na mimi nakausha tu,kumbe akaona hiyo ya kunijibu dry akaona haijanitosha,siku moja nikarudi hajapika kabisa,kumuuliza akasema anaumwa,nikasema sawa nikaomba maji ya kuoga nikapanda kitandani kulala,baadye akatoka mdogomdogo kama yupo vile akaenda mtaa wa pili kula alikoenda kuna jamaa yangu akanitonya mbona shem yupo huku usiku wa saa nne au umesafiri?
Nikasema hapana nipo ila ameaga tu anakuja kucheki inshu flani hapo kwa rafiki yake(nikadanganya)
Ile anarudi karibia saa nne nikamuuliza umetoka wapi kimya,kama tano hv mtu yupo kimya na anafanya mambo yake as if hasikii kitu,sasa mtu kama huyo unamfanya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha muhimu ni uvumilivu tuKabisaaa...
Ndo mtarajiwa
Hio ndio inatakiwa mkuu na ndio alichokuwa anahitaji ukifanye kwa wakati huo! You proved your dominance, wanawake wana majaribu sana. Yani alitaka tu ajue we ni mwanaume kiasi gani kwake!Mwaka 2015 sikumbuki tulipisha kiswahil gan na wife ukazuka mzozo na kama unavyojua wanawake ukishampenda na kumuheshimu na ukizingatia kama elim hatuna tofauti basi huwa wanaona kama tunawaogopa sana.
Maneno yakaanza bwana, nikatulia kimyaa sebuleni yy yuko pembeni.Kaongeeeeaaa ila mm nimetulia kimya tu.(kipindi hicho alikua na mimba ya miezi kama mi 3,sasa sijui kama ndio ilikua inamsumbua).Kumbe kukaa mm kimya kunazidi kumkera anataman tujibizane.
Nikaona isiwe tabu nikazama gheto kulala ingawa ilikua mchana sijaenda kazini.Akanifuata gheto bado anaoiga kelele.Nikatulia kimya nikaamka.Bado kelele zinaendelea.Nikanyanyuka nitoke nje kabisaa akaniwah kukaa mlangoni eti anazuia nisipite nibaki ndani.
Nikamwabia nomba kupita, eeh!!hapo ndio akanivaa mwilin et ananioiga push na kifua chake.Nikaona isiwe tabu.NILIMUWASHA KIBAO KIMOJA TU kitakatifu ,akajikuta amerushwa mpaka kitandani.Mm nikatoka nje nikatuliaaa.Na ukizangatia hii ndio ilikua mara ya kwanza na alikua ana mimba basi hichi kitendo kilinifanya nijiskie vibaya sana.Nikajua sasa maisha yatakua magumu kwa muda acha nijiandae kisaikolojia.
Eeh!Cha kushangaza kama baada ya saa moja namuona huyo anakuja nje kuniaribisha ndani nikale chakula.Nikashangaa sana.Na upendo ukaundlea kama hakuna kilichotokea.
Wanawake ni wa ajabu sana kuwaelewa.
Mmhh huyo wako mtihani aisee,Hamjawahi kukutana na wanawake jeuri nyie,utapiga mtu pasipo kutarajia.
Kabla sijaoa nilikuwa na mawazo kama yenu kwamba napigaje mtu mzima,wakati naweza kumwelewesha na akaelewa.
Nikaoa maisha yakaanza,baada kama mwaka mmoja tukapishana kidogo kwa maneno ya kujazwa na watu,narudi ndani nikiuliza kitu ananijibu dry tu,basi na mimi nakausha tu,kumbe akaona hiyo ya kunijibu dry akaona haijanitosha,siku moja nikarudi hajapika kabisa,kumuuliza akasema anaumwa,nikasema sawa nikaomba maji ya kuoga nikapanda kitandani kulala,baadye akatoka mdogomdogo kama yupo vile akaenda mtaa wa pili kula alikoenda kuna jamaa yangu akanitonya mbona shem yupo huku usiku wa saa nne au umesafiri?
Nikasema hapana nipo ila ameaga tu anakuja kucheki inshu flani hapo kwa rafiki yake(nikadanganya)
Ile anarudi karibia saa nne nikamuuliza umetoka wapi kimya,kama tano hv mtu yupo kimya na anafanya mambo yake as if hasikii kitu,sasa mtu kama huyo unamfanya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungempasua taya tu ningekupa zawadi sasaivYaani hawa wapuuzi huwa wanaona sifa kupiga wenzao, nilimkosa kosa na stuli.
Adhabu gani hiyo...,Hongera
Umewaona waume tulionao Afrika yaani wanatamba na kujisifu kutupiga
Ila wananifurahisha sana hawasemi adhabu zinazowakabili baada ya hivyo vipigo,,, wacha nizidi kuboresha adhabu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu hukooo...
Mtu anayelia anakuwa na appetite kweeelii
Itakuwa pacha wangu wewe si bure[emoji23][emoji23]...Na mimi ni hivyo hivyoMimi nikiwa na hasira huwa siwezi kuongea kabisa ni kilio ila akiwa mbali nakuwa na ujasiri aibu hamna hapo [emoji1][emoji1][emoji1]
Akinipiga atakua amedhamiria maana nikishaona gia imepanda ad 3 nakaa kimya au nasepa kimya kimya
Sijawah kwakwel[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana boss nadhani kuitwa mwanaume kunatupumbaza wanaume wengi.,Aiseee hivi nyinyi mkikosea huwa tunawapiga.
Aisee Bro...Wewe ni mwanamke....Ulishaolewa?
Olewa ukae ndani kama miaka miwili hivi halafu uniambie hakuna siku mlipimana ubavu!
Haina kurembua hii,olewa kwanza then utuambie!