Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Je, umeshawahi kumpiga mkeo/mpenzi ?

Ujanja wangu wote mwanaume akiwa karibu siwezi kujibizana nae zaidi ya kulia ila akiwa mbali kwenye simu naweza kupiga mkwara aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah usikutane na mwanaume kama mie maana , its better unipige mkwara nikiwa karibu ukiwa mbali utaumia labda nisijue ukwapi, Nipo radhi niache kazi nikufate huko huko uubwate huo mdomo ,.

Nipo radhi nitoke wilaya moko hadi nyingine nije nikubamzie alafu uamue la kuamua [emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asa namwachacha sababu ya kibao ama?! Sikumwacha wala, ila nililia wiki nzima!

Chanzo ni simu yake iliita nikaifuata kumchukulia, kusoma jina linasomeka barafu wangu mie nikamwambia barafu wako anakupigia simu daaahhh nilisikia tuu kibao na kile kimotorola chake ninacho mkononii nikaona mbingu inatetema, nyota zoote ziko sebleni hatimaye nikadondoka chiini! Dk tano nzima sikuelewa nini kinaendelea kabisaaa nyota zikakoma machozi yakaanza sasa!
Lakini ushamsamehe , Haujaliweka moyoni hilo kweli??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah usikutane na mwanaume kama mie maana , its better unipige mkwara nikiwa karibu ukiwa mbali utaumia labda nisijue ukwapi, Nipo radhi niache kazi nikufate huko huko uubwate huo mdomo ,.

Nipo radhi nitoke wilaya moko hadi nyingine nije nikubamzie alafu uamue la kuamua [emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaa uko addicted na kupiga yaani unasafiri ukapige mtu [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hamjawahi kukutana na wanawake jeuri nyie,utapiga mtu pasipo kutarajia.
Kabla sijaoa nilikuwa na mawazo kama yenu kwamba napigaje mtu mzima,wakati naweza kumwelewesha na akaelewa.
Nikaoa maisha yakaanza,baada kama mwaka mmoja tukapishana kidogo kwa maneno ya kujazwa na watu,narudi ndani nikiuliza kitu ananijibu dry tu,basi na mimi nakausha tu,kumbe akaona hiyo ya kunijibu dry akaona haijanitosha,siku moja nikarudi hajapika kabisa,kumuuliza akasema anaumwa,nikasema sawa nikaomba maji ya kuoga nikapanda kitandani kulala,baadye akatoka mdogomdogo kama yupo vile akaenda mtaa wa pili kula alikoenda kuna jamaa yangu akanitonya mbona shem yupo huku usiku wa saa nne au umesafiri?
Nikasema hapana nipo ila ameaga tu anakuja kucheki inshu flani hapo kwa rafiki yake(nikadanganya)
Ile anarudi karibia saa nne nikamuuliza umetoka wapi kimya,kama tano hv mtu yupo kimya na anafanya mambo yake as if hasikii kitu,sasa mtu kama huyo unamfanya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achilia mbali kupiga hata kufinya au kutusi.

Ushawahi nyanyua mkono wako kumpiga mkeo, mpenzi,Demu??
Sababu ilikuwa nini ?
Je ni sahihi kumpiga MWANAMKE/MKEO/MPENZI??

MWANAMKE USHAWAHI KUPIGWA NA MPENZI/MUME WAKO ULIJISIKIAJE?


Kama ushawahi Kumpiga mkeo/mpenzi sababu ilikuwa nini? Na baada ya hapo ulichukua hatua gani kulimaliza hilo??
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah usikutane na mwanaume kama mie maana , its better unipige mkwara nikiwa karibu ukiwa mbali utaumia labda nisijue ukwapi, Nipo radhi niache kazi nikufate huko huko uubwate huo mdomo ,.

Nipo radhi nitoke wilaya moko hadi nyingine nije nikubamzie alafu uamue la kuamua [emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee hivi nyinyi mkikosea huwa tunawapiga.
 
Back
Top Bottom