Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 80
hivi hilo vazi la taifa ndilo vazi atakalotakiwa kuvaa kila mtanzania? ina maana kama ukuvaa inakuwaje? ama umuhimu wake vipi? miaka yote 50 ya uhuru lilikuwa halina umuhimu vipi tena ghafla hii ndiyo linatafutwa