lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
kuna threads nyingine kama mbili hivi zinaongelea suala hili hili, nashauri moderator angeziunganisha kupanua mjadala huu.
Nilichowaambia hapa ni upotevu wa muda na inawezekana ndio maana Absalom Kibanda alijitoa kwenye kamati hiyo, inawezekana ana mambo ya msingi ya kufanya badala ya kupoteza muda huu muhimu.
Na nawahakikishia, hawa jamaa wakiendelea kututawala watafikia point ya kubuni 'Chakula cha Taifa'
Nilichowaambia hapa ni upotevu wa muda na inawezekana ndio maana Absalom Kibanda alijitoa kwenye kamati hiyo, inawezekana ana mambo ya msingi ya kufanya badala ya kupoteza muda huu muhimu.
Na nawahakikishia, hawa jamaa wakiendelea kututawala watafikia point ya kubuni 'Chakula cha Taifa'
Ni vazi la Taifa au kitambaa cha Taifa? Upuuzi mtupu!
wameteua waandishi wa habari ili kupunguza manunguniko, si magazeti hayataandika! Ila kwa maoni yangu hilo vazi litakuja automatic, halafu sio kweli vazi la taifa lina kuwa na rangi ya bendera, km ni hivyo si watu wanavaa wakati Serengeti boys inapocheza kuna watu walikaa wakabuni? Picha za mwanzo za uhuru Nyerere na Kawawa walikuwa wanavaa vazi la kiasili hatujaambiwa kwanini waliacha. Tufanye mambo ya msingi kama kufufua riadhaa na michezo mingine kuiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia badala ya kungangania vazi. Watu hawavaa timu ikiwa inafungwa bao 6 wataona aibu, imarisha michezo watu watakuwa proud na taifa na kuwa tayari kuvaa utambulisho wao mahali popote