luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Hii kitu nimekumbana nayo leo baada ya kujaza loss report online kisha kufanya malipo then nikafika kituo cha polisi ili waithibitishe ndipo askari niliye mkuta kituoni akaniambia nikathibitishie stationary.
Je hii ni sahihi kweli jamani
Je hii ni sahihi kweli jamani