Hivi kuna uhusiano wowote wa Planetel na EL yule mchangia mkanisa na misikiti? kama upo, huoni kwamba Jamaa anahitaji pesa nyingi kwa ajili ya 2015?hapa unanifanya niamini ni za ccm
Nyerere kaiacha hii nchi senti mbovu ya kigeni hakuna hazina na BOT imechomwa moto.
Ukibahatika kuipata hotuba ya Ali Hassan Mwinyi ya "mikuki miwili", mwanzo mwanzo tu wa madaraka yake aliwaita wazee Diamond Jubilee na kuwaelezea namna alivyokabidhiwa hii nchi, alifanya kusudi asije kuambiwa yeye ndiyo kafuja.
Ukiisikia hotuba hiyo ndio utajuwa hii nchi aliipokea vipi. Utalia.
Mitaani foleni moja kwa moja, za kuanzia mafuta ya gari mpaka chakula cha kila siku. Ukipata kilo moja kwa wiki ya sukari kwa familia yako shukuru Mungu wako.
Tuulize tuliokuwepo upate faida ya kujuwa nchi hii imetoka wapi. Leo tuna neema kubwa sana, tunaongelea matajiri na mabilioni. Thubutu wakati huo, hata hicho ki share kinachoongelewa cha Rostam nchi nzima hii ilikuwa haina hata robo ya thamani yake. Kalagabaho.
- Hivi karibuni kulikuwa na habari za kibiashara kwamba Rostam Aziz ameuza share zake alizokuwa nazo VODACOM, sio siri kwamba amekuwa akimiliki share 35% ya kampuni hiyo kubwa sana hapa nchini, Rostam aliuza Share 17% kwa Shillingi za Tanzania Billioni 387.
- Swali la the dataz ni je ni kweli hizi alizouza zilikuwa ni share zake? Kama sio zake ni za nani? Na kwa nini zimeuzwa now kuelekea uchaguzi wa Rais 2015 na sio huko nyuma? Ninaamini majibu ya hili swali yana habari nzito sana na mustakabali wa Taifa letu was just thinking aloud!!
FMES - Wazee wa Sauti ya Umeme!!
Hili swali la Field Marshall ES ni la msingi sana...lakini kwa sababu JF ya siku hizi imeingiliwa, ni mchangiaji mmoja tu amekuja na maoni yenye elimu, wengi hawalichukulii kwa uzito stahili...na-miss sana JF ile ya late 1990's mpaka Mid 2005.
Weekend Njema!
FaizaFoxy# wewe ni muislamu msomi. Unaenda kwa data. Waislamu wote wangeenda shule Kama wewe tungekuwa mbali na mambo ya uzushizushi Kama ya hawa wanaobunibuni ya kina rostam bila kuwa na uhakikaMara useme Rostam ameuza share zake, mara uulize ni zake au si zake.
Jipange upya hueleweki.
Kama unataka kujuwa kama share ni za Rostam au si Rostam? unaweza kutembelea BRELA, unalipia 6,000 unafanya official search unapata kujuwa yote uyatakayo, au una lingine zaidi?
Pitia hapa kwa maelezo zaidi: BRELA
Alichokifanya huyu bwana ni kuhakikisha serikali ya Tanzania will never touch his money. Amechukuwa the 'long road to safety'. In other words, anajua tiktak zote za serikali hivyo kajiweka sawa. Touch him if you can!
Kila wakati nasema Faizafoxy ni muislamu msomi. Anaenda kwa data. Hana mambo ya kuzushazusha Kama wanavyofanya wengine. I love FaizaFoxy.Hata kama hajauza shares, Serikali haiwezi tu kukamata fedha za mtu, labda wacheze na mtu asiyejua sheria za Kimataifa. Rostam ni kitu ingine, ni msomi, ni mfanya biashara, ni mwana siasa, ni tajiri, ni kichwa.
Kumbuka kuwa Tanzania ina dhamana za Kimataifa za wawekezaji kuwa hawatowataifisha. Hapo sasa.
Hata zingekuwa hazipo, tumeona jinsi Nyerere alivyohenyeshwa na Tiny Rowland alipojidai kumtaifisha, nakumbuka Nyerere alipoambiwa usifanye hivyo, akasema yeye hageuki nyuma, akigeuka nyuma atageuka jiwe! Looh! mbona alikiona kimbembe ch Tiny Rowland, alirudisha mwenyewe mali na ali compensate zote zisizoweza kurudishwa.
Watu wakawa wanasemea pembeni "mbona hajageuka jiwe?". Maana siku hizo hata kivuli chako unakiogopa kisije kuwa ni shushushu. Hata ukisingiziwa tu, unapotea.
Leo ni neema kubwa sana tuna uhuru wa maoni kiukweli.
Mbona Zain waliuza kampuni ya simu kwa Airtel. Kwani hizo mobile operators kwenye nchi 12 za Afrika zilikuwa za hasara. Kabla ya kujisifia mko kwenye fani ya biashara na mbwembwe kibao ni bora uhakikishe unachokisema kiko sahihi ama hapana.
Alichokifanya huyu bwana ni kuhakikisha serikali ya Tanzania will never touch his money. Amechukuwa the 'long road to safety'. In other words, anajua tiktak zote za serikali hivyo kajiweka sawa. Touch him if you can!
Wewe mfanyabiashara au mjasiriamali? mfanyabiashara ana wakati wa kuja JF na kuanzisha mada za kipuuzi?
Wafanya biashara wakubwa huwa wana mengi wanayaona ambayo wewe huyaoni, yanayowapelekea kuuza amma kununua amma kuanzisha biashara nyingine. Wana muono wa mbali katika biashara na ndiyo maana wanafanikiwa sana.
Usione biashara inakuwa kubwa ukadhani na faida inakuwa kubwa. Kumbuka biashara kama hii ya Vodacom ni kila siku inatakiwa ikuwe, unaweza kukuta mapato yote yanarudi tena katika kuwekeza ukuwaji wake.
Ulishaziona faida za Vodacom hata utake kutuaminisha kuwa ina faida kubwa?
Wewe utaona wapi na macho unayo lakini hayaoni? hukuona Celtel ikiuzwa? hukuona Tritel ikiuzwa? tena si shares ndogo ndogo ni zote kwa ujumla wake.
Hivi ukiandika huwa unafikiri wote humu ni misukule? Jipange upya.
- Kaka una uhakika hizo share ni za Rostam na kama ni kweli ameziuza kwa roho yake saafi? kabla ya kurukia msiayoyajua muwa mnauliza kwanza!!
ES
Mbona Zain waliuza kampuni ya simu kwa Airtel. Kwani hizo mobile operators kwenye nchi 12 za Afrika zilikuwa za hasara. Kabla ya kujisifia mko kwenye fani ya biashara na mbwembwe kibao ni bora uhakikishe unachokisema kiko sahihi ama hapana.
kwa urasimu uliopo nchi hii hasa unapo fatilia interest za wakubwa,unadhani ni rahisi hivyo?wewe ulishawahi kufanya na ukafanikiwa?!
Mbona Zain waliuza kampuni ya simu kwa Airtel. Kwani hizo mobile operators kwenye nchi 12 za Afrika zilikuwa za hasara. Kabla ya kujisifia mko kwenye fani ya biashara na mbwembwe kibao ni bora uhakikishe unachokisema kiko sahihi ama hapana.
Unasikitisha sana, unajuwa nimekubana kila pembe huna cha kutokea.
Kuna Mzee mmoja kule Dodoma alikuwa anajifanya ana-akili sana na akawa ana kiburi sana, akaja kudondoshwa tena kwenye uchaguzi wa awali tu na kijana mdogo sana pale Mtera, umeshawahi kumsikia?
Huyo Mzee ana mwanawe humu JF aka Le mutuz, baharia from Dodoma, nae hakuwa na akili wala muono wa kunizidi itakuwa wewe? pole sana.
Huyo anaejiita Field Marshall ES hana lolote pumba tu, mfatilie nyuzi zake humu, ni porojo zisizo na kichwa wala miguu.
Wewe Tazama post #1 hajui anachokitaka, ili mradi alete ----- wake, tena kawekewa na link kistaarabu humu kujulishwa kuwa hii habari imo humu tayari, yeye anajifanya haelewi anaendelea tu. Unajuwa kwanini? lugha ya kule ilimshinda akaona aje kufunguwa nyuzi hapa halafu ajifanye anajuwa sana.
Mwache aje ntaenda nae samba-samba.
Nyerere kaiacha hii nchi senti mbovu ya kigeni hakuna hazina na BOT imechomwa moto.
Ukibahatika kuipata hotuba ya Ali Hassan Mwinyi ya "mikuki miwili", mwanzo mwanzo tu wa madaraka yake aliwaita wazee Diamond Jubilee na kuwaelezea namna alivyokabidhiwa hii nchi, alifanya kusudi asije kuambiwa yeye ndiyo kafuja.
Ukiisikia hotuba hiyo ndio utajuwa hii nchi aliipokea vipi. Utalia.
Mitaani foleni moja kwa moja, za kuanzia mafuta ya gari mpaka chakula cha kila siku. Ukipata kilo moja kwa wiki ya sukari kwa familia yako shukuru Mungu wako.
Tuulize tuliokuwepo upate faida ya kujuwa nchi hii imetoka wapi. Leo tuna neema kubwa sana, tunaongelea matajiri na mabilioni. Thubutu wakati huo, hata hicho ki share kinachoongelewa cha Rostam nchi nzima hii ilikuwa haina hata robo ya thamani yake. Kalagabaho.
Mkuu ES, kwanza karibu tena!, long time we missed you.- Kaka kama haupo fani ya biashara sio rahisi kuamini mfanya biashara wa status ya Rostam anaweza kuuza share zake 17% kutoka kampuni yenye faida ya ajabu kama VODACOM kaka mimi mfanya biashara sijafikiam level ya Rostam lakini najua kwamba haiwezekani na haijawahi kutokea Duniani unless ni Russia ambako Serikali inakulazimisha kuziuza,
- Wailuze wanaojua biashara kaka haipo hakuna mafanya bisahara mwenye akili timamu anayeweza kuuza share zote hizo kutoka VODACOM hasa kwa wakati huu impossible!1
ES