Je, ni kweli Rostam Ameuza Share zake Vodacom?

Je, ni kweli Rostam Ameuza Share zake Vodacom?

Kufanya nini na kufanikiwa? Kama unauliza bishara? mimi si mfanya biashara, mimi ni "semi retired" kwa hiyo ni "part time" mshauri wa biashara (Business Consultant).

Kazi yangu kwa zaidi ya miaka 10 sasa ni kukusanya kodi za majumba niliyorithi na kuyaendeleza na kulima kwetu Mkuranga.

Ndiyo maana unaniona muda mrefu nnaweza kuingia JF bila waswas.

AlhamduliLlah, nnashkuru nimefanikiwa kwa yote hayo.

sikufahamu na ukongwe wako wote hapa jf kuna time unajichanganya namna hii.jibu ulilonijibu sio la swali nilillo kuuliza.hata hivyo nashukuru kwa tangazo lako.kuji-brag imo na sio dhambi.
 
sikufahamu na ukongwe wako wote hapa jf kuna time unajichanganya namna hii.jibu ulilonijibu sio la swali nilillo kuuliza.hata hivyo nashukuru kwa tangazo lako.kuji-brag imo na sio dhambi.

Hakuna cha ku brag hapo, huo ndio ukweli ulivyo, nimekujibu mimi si mfanya biashara, na nimekuuliza kufanya nini ndio kufanikiwa? kama ni kazi zangu zingine basi zina mafanikio sana na nikakueleza nnayoyafanya kwa sasa.

Nini hujakielewa au nawe ni bongolala kama Field Marshall ES?
 
Last edited by a moderator:
Jee, kama kuna capital loss, analipwa yeye?

capital loss inatoka wapi???? FROM TIME TO TIME VODACOM WAMEZIDI KUPATA FAIDA MARADUFU, SIDHANI KAMA SHARE HOLDERS WAKE WAMEPATA HASARA YOYOTE, MSEKWA ANA SHARE NGAPI COZ VODACOM ni kati ya makampuni yaliyojaa viongozi wa ccm kATIKA BODI YAKE TZ, na jamaaa wanakwepa sana ushuru, wameibeba sana CCM KWENYE CAMPAIGN ZA URAISI
 
- Kichwa cha mada nimeuliza swali je ni kweli hizi share 17 alizouza ni zake? Vipi unalo jibu la hilo swali? kama huna nyamaza tu mkuu unajaza hii topic fo nothing na sina mpango wa ligi na wewee maana on this ishu hujui lolote pole sana!!

ES

Jione ulivyo punguani, kichwa cha habari umeuliza, para ya kwanza ya habari (nimekuwekea rangi nyekundu hapa chini ili ujisomee vizuri) umejijibu mwenyewe! sasa vingine unavyoleta ni viroja na si hoja tena.

Halafu para ya tatu unauliza tena mfululizo, sasa jibu utoe wewe na swali uulize wewe. Ndiyo maana huko juu nkakwambia kajipange upya, hueleweki.

Hebu kuwa makini kidogo unakuwa kama Le Mutuz aka Baharia asiyejuwa kuogelea from Dodoma.

- Hivi karibuni kulikuwa na habari za kibiashara kwamba Rostam Aziz ameuza share zake alizokuwa nazo VODACOM, sio siri kwamba amekuwa akimiliki share 35% ya kampuni hiyo kubwa sana hapa nchini, Rostam aliuza Share 17% kwa Shillingi za Tanzania Billioni 387.

- Swali la the dataz ni je ni kweli hizi alizouza zilikuwa ni share zake? Kama sio zake ni za nani? Na kwa nini zimeuzwa now kuelekea uchaguzi wa Rais 2015 na sio huko nyuma? Ninaamini majibu ya hili swali yana habari nzito sana na mustakabali wa Taifa letu was just thinking aloud!!


FMES - Wazee wa Sauti ya Umeme!!
 
capital loss inatoka wapi???? FROM TIME TO TIME VODACOM WAMEZIDI KUPATA FAIDA MARADUFU, SIDHANI KAMA SHARE HOLDERS WAKE WAMEPATA HASARA YOYOTE, MSEKWA ANA SHARE NGAPI COZ VODACOM ni kati ya makampuni yaliyojaa viongozi wa ccm kATIKA BODI YAKE TZ, na jamaaa wanakwepa sana ushuru, wameibeba sana CCM KWENYE CAMPAIGN ZA URAISI

Inabidi utuletee ushahidi wa hizo faida. Mkono mtupu haulambwi.
 
RockSpider,

Na muhimu mkaelewa kuwa Sheraton alikuwa siyo mmiliki wa hoteli bali ilikuwa contracted to manage the hotel. Hivyo hivyo Kempinski alikuwa siyo mmiliki wa Kilimanjaro Hotel na wala Hyatt pia siyo mmiliki wa hiyo hoteli. Hata ile Holday Inn haimilikiwi na kampuni ya Holiday Inn. Hizi kampuni zinakuwa contracted ku-manage hizo hoteli kwa kutumia brand names za hizo makampuni. Hivyo management company inapobadilishwa haina maana kuna kuuzwa kwa shares.

Kudadeki, changing of name n mgt kuna biashara imefanyika hapo, Capital gain tax ilikuwa inastahili kulipwa Mkuu...
 
Voda wanatuibia sana sisi wadanganyika
 
2007 = Mwaka
Mgogo = Ni kabila la kwanza linalojulikana kwa mambo mawili hapa Tanzania, kwanza Umatonya. Pili Kujisifu. Huwa hawangoji kusifiwa. Ukimsoma sana mleta mada utaona anajisifu sana, kuwa eti yeye ni mfanya biashara, eti yeye anajuwa wengine hawajui, eti hii mada, tuondoke sio kimo chetu ni kimo chake tu. Hizo ni tabia za Kigogo typical.
 
Wakati Serikali inajitoa katika kufanya biashara wewe unataka kutuingiza mkenge? Serikali si inayo TTCL, badala ya kununuwa shares za Rostam si waiboreshe TTCL.

Na ikitokea Serikali kununuwa shares za Vodacom basi watu watakwambia ni dili hilo, ufisadi.

Humu kuna watu wana roho mbaya za hasad hakuna zaidi. Kama Rostam kachukuwa mkwanja wa kutosha tunamuombea mafanikio zaidi, na afunguwe mabiashara mengine mengi, Tanzania na duniani kote, yatakayompatia faida zaidi.

Tunahitaji sana Watanzania wafanya biashara kama Rostam Aziz baada ya kutoka kwenye siasa na uchumi wa kijinga wa ujamaa na kujitegemea ulioshindwa kabisa kutekelezeka, ukaiwacha nchi na wananchi wake masikini hohe-hahe.

Acha kutumia ma------ kufikiria ww,rostam ni mtanzania?
Kampuni yenyewe kafungulia visiwa vya vijisent..unapenda sana kutetea ujinga
 
Inabidi utuletee ushahidi wa hizo faida. Mkono mtupu haulambwi.
From gut feeling or common sense...vodacom inaengeneza hasara kweli?

We unadhan rostam hatak faida ya bwerereee..kuna kitu hapa
 
Acha kutumia ma------ kufikiria ww,rostam ni mtanzania?
Kampuni yenyewe kafungulia visiwa vya vijisent..unapenda sana kutetea ujinga

Hivi wewe hujui hata kama Rostam ni Mtanzania, utakuwa na matatizo binafsi, usije ukatwambia na Nyerere ni Mnyarwanda kwa kuwa babu yake alitokea huko.
 
From gut feeling or common sense...vodacom inaengeneza hasara kweli?

We unadhan rostam hatak faida ya bwerereee..kuna kitu hapa

Hicho kitu ni nini, Rostam? kuna mfanya biashara asiyetaka faida?
 
Kudadeki, changing of name n mgt kuna biashara imefanyika hapo, Capital gain tax ilikuwa inastahili kulipwa Mkuu...

Si mpaka ingekuwepo siku hizo hiyo capital gain tax? hii si imeanza juzi tu.
 
2007 = Mwaka
Mgogo = Ni kabila la kwanza linalojulikana kwa mambo mawili hapa Tanzania, kwanza Umatonya. Pili Kujisifu. Huwa hawangoji kusifiwa. Ukimsoma sana mleta mada utaona anajisifu sana, kuwa eti yeye ni mfanya biashara, eti yeye anajuwa wengine hawajui, eti hii mada, tuondoke sio kimo chetu ni kimo chake tu. Hizo ni tabia za Kigogo typical.
Pole dada, msamehe maana umri nao unaleteleza upogo wa kufikiri sawa sawa...
 
toto la malechela jinga sana kumbe ndo linajiita field marshal u kno nothing about business kip yo mouth shut n listen
 
Faizafox ni janga la kitaifa kama ilivyo kwa chama cha mizigo
 
Jione ulivyo punguani, kichwa cha habari umeuliza, para ya kwanza ya habari (nimekuwekea rangi nyekundu hapa chini ili ujisomee vizuri) umejijibu mwenyewe! sasa vingine unavyoleta ni viroja na si hoja tena.

Halafu para ya tatu unauliza tena mfululizo, sasa jibu utoe wewe na swali uulize wewe. Ndiyo maana huko juu nkakwambia kajipange upya, hueleweki.

Hebu kuwa makini kidogo unakuwa kama Le Mutuz aka Baharia asiyejuwa kuogelea from Dodoma.

- Bado unazidi kujivua nguo kwamba hiki kitendawili ni kikubwa sana kwako kuelewa, pole sana sasa unataja majina mengi ya watu wasiohusika ili iwe nini mkuu? Unafikiri kuna kunguru hapa wewe vipi wewe, nasema hivi hiki kitendawili hukiwezi tuliza bli tu!!

- Halafu hapa JF si kuna sheria ya kuhusu ku-speculate ID za wasiotaka majina yao yatajwe wazi sasa vipi huyu mbona hajashugulikiwa wakuu sana?

- Halafu unanifurahisha unajua ni rahisi sana kujua nani humu JF anatumwa na nani maana hii ndio njia pekee ya kuwajua mnaojificha ficha, tulianza na Pasco na sasa na wewe inajisema wazi kwamba upo humu kwa niaba ya nani, pole pole tutawajua wote!!

Es
 
Back
Top Bottom