Mkuu ES, kwanza karibu tena!, long time we missed you.
Hili la biashara kwa vile na wewe sio ndio maana pia huwezi kulifahamu!. Mfanyabiashara makini sio tuu anaangalia faida, bali pia anaangalia investments opportunities za kuwekeza kwenye faida zaidi na zaidi.
Yusuph Manji alikopa bilioni 30 toka penshions funds na kujenga ile Millenium Bussiness Park, kwa kutumia title deed ya eneo as collateral. Jengo lilipokamilika, linazalisha faida 100% profit, lakini kaamua kuliuza kwa hao hao penshen funds kwa shilingi bilioni 80!, katoa deni lao la bilioni 30 na kupocket faida yake ya bilioni 50 aka re ivest kwenye Quality Plaza!, nayo pia sasa kauza anaendelea kusonga mbele!.
Original Mmiliki wa Vodacom Tanzania ni Jaquline na Peter Noni kupitia Planetel, aliyekuwa akimiliki 35% ndipo akamuuzia Rostam kupitia Kampuni yake ya Caspian 19% Plenetel aka retain 16% huku ikiwa inatengeneza faida kubwa!. Rostam akaunda kampuni tanzu ya Mirambo iliyonunua shares zote za Caspian na shares zote za Planetel, hivyo kumiliki 35% yeye mwenyewe ingawa super deals wengine kama, Tanil Somaiya kupitia Shivacom, muzee wetu kupitia Alphatel, MO Dewji kupitia Zefona wanakamkono ndani yake.
Kwa mujibu wa TCRA, kampuni zote za mawasiliano lazima ziwe na not less than 35% local ownership, hivyo kama ni kweli kuna hii sale, ni kinyume cha sheria zetu!.
Hili la biashara kutengeneza faida na shares kuuzwa liko duniani kote naomba lisikushangaze, usikute mwenzako keshaona deal jingine kubwa, more profitable, kauza shares na kuja kuwekeza!. Sometimes unakuwa wala hujapanga kuuza, bali unafuatwa na offer you can't resist!, you just let it go!.
Bill Gates alianzisha Microsoft with 100% ownership na kampuni haijawahi kupata hasara, find out sasa anamili shares ngapi?!. Sio kila uuzwaji shares lengo lake ni kutengeneza faida, sometimes unauza shares ili kufanya divesture na hiki ndicho kitu Watanzania tunatakiwa tukipiganie, vikampuni vidogo vifanye divesification kuuza shares zake kwa wengine ili zipate mtaji mkubwa zipanuke!. Soko la Hisa la Dar es Salaam, limefungua dirisha dogo la Enterprise Growth Market, EGM ili small and medium enterprises SME's zifanye listing na kuuza shares zake!.
Pasco