Je, ni kweli Rostam Ameuza Share zake Vodacom?

Je, ni kweli Rostam Ameuza Share zake Vodacom?

Unanchekesha kwani magamba ndio malaika na hawafanyi makosa? hata Slaa alifanya makosa ndiyo maana akachujwa kuiwakilisha CCM na gamba bovu likahamia chadema, Si unajionea alivyo? eti mchungaji aliyeasi kanisa, aliyeasi wanawe, aanezini na mke wa mtu. Huyaoni?

Mpelekee na wewe uone kama atakataa
 
Wakati Serikali inajitoa katika kufanya biashara wewe unataka kutuingiza mkenge? Serikali si inayo TTCL, badala ya kununuwa shares za Rostam si waiboreshe TTCL.

Na ikitokea Serikali kununuwa shares za Vodacom basi watu watakwambia ni dili hilo, ufisadi.

Humu kuna watu wana roho mbaya za hasad hakuna zaidi. Kama Rostam kachukuwa mkwanja wa kutosha tunamuombea mafanikio zaidi, na afunguwe mabiashara mengine mengi, Tanzania na duniani kote, yatakayompatia faida zaidi.

Tunahitaji sana Watanzania wafanya biashara kama Rostam Aziz baada ya kutoka kwenye siasa na uchumi wa kijinga wa ujamaa na kujitegemea ulioshindwa kabisa kutekelezeka, ukaiwacha nchi na wananchi wake masikini hohe-hahe.

acha kupaparika kama bisi ktk sufuria jikoni toka uko juu nakusoma umekua reactionary tu very unnecessarily kama huna majibu au mada haikufuraishi you can as well stay away from this thread, this is JF where we dare to talk openly!!!

having said that na kukushushua kote uko labda unaweza kujibu kwa mfanyabiashara yoyote ile kuna mantiki gani ya kuuza share kwenye kampuni kama vodacom inayotengeneza super profit????

logic ya kuinvest ni kupata super profit sasa kampuni kama vodacom inatengeneza super profit why selling the shares??
 
acha kupaparika kama bisi ktk sufuria jikoni toka uko juu nakusoma umekua reactionary tu very unnecessarily kama huna majibu au mada haikufuraishi you can as well stay away from this thread, this is JF where we dare to talk openly!!!

having said that na kukushushua kote uko labda unaweza kujibu kwa mfanyabiashara yoyote ile kuna mantiki gani ya kuuza share kwenye kampuni kama vodacom inayotengeneza super profit????

logic ya kuinvest ni kupata super profit sasa kampuni kama vodacom inatengeneza super profit why selling the shares??

Ewe punguani, kuuza na kununuwa ndiyo maana ya biashara kama ulikuwa hujui basi leo umejuwa.

Pata darsa dogo:

Neno biashara ni neno linalotokana na maneno mawili ya kiarabu "bia" maana yeke uza na "shara" maana yake nunuwa. Kwa pamoja? uzanunuwa ndio biashara.

Unauliza ujinga, eti "kwa mfanyabiashara yoyote ile kuna mantiki gani ya kuuza share kwenye kampuni kama vodacom inayotengeneza super profit???"

Hiyo super profit iko wapi? usione kampuni ina volume kubwa ya mauzo ya bidhaa zake basi ukafikiri ina "super profit" kwa mfanya biashara. Inaweza kuwa na "profit" kwa wengi wengine lakini si kwa mwenye hisa, na ukiona mwenye hisa kauza katika kampuni ambayo haijayumba ujuwe hapo katengeneza "profit" nzuri kwa mara moja kuliko ya kungoja mauzo ya bidhaa zake. Na faida aliyoipata kwa kuuza shares zake anafanyia biashara zingine, kumbuka Rostam ana biashara kibao dunia nzima na anaona mbali kuliko wewe punguani usiyejuwa hata maana ya neno biashara.

Faidika na Darsa la FaizaFoxy
 
Hata kama hajauza shares, Serikali haiwezi tu kukamata fedha za mtu, labda wacheze na mtu asiyejua sheria za Kimataifa. Rostam ni kitu ingine, ni msomi, ni mfanya biashara, ni mwana siasa, ni tajiri, ni kichwa.

Kumbuka kuwa Tanzania ina dhamana za Kimataifa za wawekezaji kuwa hawatowataifisha. Hapo sasa.

Hata zingekuwa hazipo, tumeona jinsi Nyerere alivyohenyeshwa na Tiny Rowland alipojidai kumtaifisha, nakumbuka Nyerere alipoambiwa usifanye hivyo, akasema yeye hageuki nyuma, akigeuka nyuma atageuka jiwe! Looh! mbona alikiona kimbembe cha Tiny Rowland, alirudisha mwenyewe mali na ali compensate zote zisizoweza kurudishwa.

Watu wakawa wanasemea pembeni "mbona hajageuka jiwe?". Maana siku hizo hata kivuli chako unakiogopa kisije kuwa ni shushushu. Hata ukisingiziwa tu, unapotea.

Leo ni neema kubwa sana tuna uhuru wa maoni kiukweli.

Leo watu wanamuita raisi wa hii nchi mjinga,dhaifu nothing happen..wakati source ya uchumi mbovu na utawala wakimungu mtu ni wa mzee wataifa but all critics index finger to JK..hatuta pata raisi mstahimilivu,muwazi asiyeogopa kuwa criticized kwa kila neno alilo sema
 
rostam azizi,,, kama humjui mtu usiongee ovyo ovyo tafuta historia yake, jaribu kuangalia anafanya nini duniani na sio kukurupuka Kwa sababu fulani kasema,, rostam ni mmiliki wa caspian ltd. unazijua project za caspian achilia mbali na hiyo voda ambao wengi mnaijua,,, caspian walijenga dubai tower, unajua?? caspian walijenga buzwagi plant( chini ya barrick) capian walikuwa wanabeba kifusi mpaka nzega mpaka mradi umefungwa(chini ya resolute) caspian wanabeba kifusi mwadui wameongezewa mkataba miaka saba mingine(chini ya petra diamond) sasa hivi wanajenga plant barrick bulyankulu gold mine na wana kazi ya bwawa kwa miaka mitano(chini ya barrick africa ABG), caspian wana kazi ya kubeba kifusi twiga cement(wazo), caspian wamejenga uwanja wa ndege geita(chini ya anglo gold ashanti, ggm) bado miradi mingine mingine mingi midogo sehemu mbalimbali kama kazi za earth work kwenye hizo power plants, nasikia wanaproject sijui ya nini masaki hapo ni project ya zaidi ya mwaka mmoja,,
sasa kwa CV hiyo unafikili mtamuweza huyu mtu na majungu yetu, ndio maana aliita siasa zetu uchwara,jamaa anastahili sana kuwa tajili, yuko serious.. muacheni afanye biashara zake amewaachia siasa zenu,: alianza mbali sana huyu sivyo hivyo mumuonavyo, historia ya madozer mabovu pale Rufiji, waulize wana igunga alivyokuwa choka mbaya mpaka kuwa milionea

TUACHE UNAFIKI, TUAMBIANE UKWELI DUNIA IMETUACHA MBALI MNO,, SISI BADO TUNAIMBA TARAABU, BONGO FLEVER &MOVIES. TUFIKILIE NAMNA YA KUWA NA TAIFA LA WAKAKAMAVU,WAZALENDO, WAJASILI NK.
 
Leo watu wanamuita raisi wa hii nchi mjinga,dhaifu nothing happen..wakati source ya uchumi mbovu na utawala wakimungu mtu ni wa mzee wataifa but all critics index finger to JK..hatuta pata raisi mstahimilivu,muwazi asiyeogopa kuwa criticized kwa kila neno alilo sema

Angekuwa Mkristo mwenzao hata afanye madudu kama ya Nyerere watamsifia tu.

Nyerere kaiuwa Tanganyika eti leo analaumiwa Kikwete anaeitengeneza kwa kuwaachia wananchi wenyewe waamuwe. Ajabu kubwa sana.
 
Angekuwa Mkristo mwenzao hata afanye madudu kama ya Nyerere watamsifia tu.

Nyerere kaiuwa Tanganyika eti leo analaumiwa Kikwete anaeitengeneza kwa kuwaachia wananchi wenyewe waamuwe. Ajabu kubwa sana.

557685_391610204233852_505836128_n.jpg
 
- Kaka kama haupo fani ya biashara sio rahisi kuamini mfanya biashara wa status ya Rostam anaweza kuuza share zake 17% kutoka kampuni yenye faida ya ajabu kama VODACOM kaka mimi mfanya biashara sijafikiam level ya Rostam lakini najua kwamba haiwezekani na haijawahi kutokea Duniani unless ni Russia ambako Serikali inakulazimisha kuziuza,

- Wailuze wanaojua biashara kaka haipo hakuna mafanya bisahara mwenye akili timamu anayeweza kuuza share zote hizo kutoka VODACOM hasa kwa wakati huu impossible!1

ES

Haijawahi kutokea duniani? Seriously?
 
Angekuwa Mkristo mwenzao hata afanye madudu kama ya Nyerere watamsifia tu.

Nyerere kaiuwa Tanganyika eti leo analaumiwa Kikwete anaeitengeneza kwa kuwaachia wananchi wenyewe waamuwe. Ajabu kubwa sana.

Hivi hunaga mume wa kumpikia saa hizi.
 
Back
Top Bottom