FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...
Usiogope, kufa utakufa tu, iwe leo, kesho, keshokutwa, mwezi huu, mwezi ujao , mwakani. Unatembea na mauti yako.
Chukulia kuwa hiyo ndoto ni ya kweli na unatakiwa ufanye toba za nguvu.
Bye Bujibuji, will miss you.