Mas The Great
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 150
- 64
Mwambie Mungu ndoto hiyo na umuruhusu afanye anavyotaka yeye. kama yeye ndo kajitokeza kwa njia hiyo basi afanye kama atakavyo lakini kama ni shetani ashindwe kwa jina la aliye juu. Yote hayo yafanye ukijikabidhi mbele Za Mungu kwa kuwa tayari kwa lolote
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...[/QUOTE