Je ni kweli ntakufa 2014 April???

Je ni kweli ntakufa 2014 April???

Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...


Hama kabisa hapo unapokaa
 
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...

Mshukuru Mungu kwa yote. Mwambie Mungu asante kwa ndoto hii naomba MAPENZI YAKO YATIMIZWE.
 
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...

hiyo ni alama ya kuwa wewe na chadema mtakufa siku moja,poleni sana
 
RIP BUJIBUJI........acha woga....hayo ni mapepo tu...hata mimi kuna kipindi hayo yako yalinikuta.ni mwaka jana...NILIUMWA SANA LAKINI SASA KWA UWEZO WA MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDH NA VYOTE VILIVYOMO AMENIPA NGUVU NA NIMEREJEA MASOMONI NIKIWA NA TUMAINI jipya

Sometime hizi ID zetu zinakuwa na uhalisia wa maisha ya mtu, ndiyo maana ukajiita Baba Matatizo.
 
Hiyo ni ndoto tu brother no one knows atakufa lini only God can, but kumbuka unaweza kufa any time even today or 30 years later. Turn to your God
 
Kufa si tatizo kwa sababu hata kama mtu hutaki kufa iko siku utakufa tu',tatizo ni baada ya kufa utakuwa
wapi? ni sehemu mbili tu za kwenda either Mbinguni milele au Motoni milele,ni suala la kuchagua mwenyewe,
Kama unataka kwenda Mbinguni mpokee YESU awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako ili akupe uwezo wa
kushinda dhambi na siku ya mwisho ukifa uende Mbinguni.Kama unataka kwenda motoni endelea kuishi maisha
ya dhambi.La kukumbuka tu ni kwamba hakuna mwanadamu anaweza kushinda dhambi kwa nguvu au kwa akili
zake,ila ni kwa msaada wa Mungu baada ya kumkiri YESU kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako'
 
Mtafute Mzizi Mkavu haraka sana, au anza kugawa mirathi kabisa. Ndoto ya kufa haikopeshi
 
Last edited by a moderator:
...kama mke wako ni mzuri sana! Ni kweli unaweza ukafa...

Kama sijakupatapata vile! Kwani uzuri wa mke wa huyu mkuu na kifo chake vinauhusiano gani? Au unampango wakumrithi mjane?
 
Kama ikitokea r.i.p uncle BUJI, utamsalimia Appetizer mwambie Kapuya kapotea kama alivopotea Balali.
 
Last edited by a moderator:
kwa vile hukunywa kwa muda yawezekena ni pombe tu unazokunywa mara kwa mara usipokunywa kwa muda huwa zinatabia ya kuingia na kutoka akilini ili kukukumbusha kuwa unatakiwa unywe hivyo yawezekana ulikuwa umelewa japo hukunywa. tetetetteteee pole mkuu hutakufa au utakufa yani moja kati ya hili lazima litatokea.
 
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...
yote ni kwasababu umepumzika mtungi ukizoea mtungi usipokunywa unaota mashetani piga kinywaji utaona no kufa raha tu
 
Back
Top Bottom