Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,562
Unaweza usifike hata hiyo April 2014.
Hahahaa haaaa
Unaweza usifike hata hiyo April 2014.
Tokea lini April ikawa siku?:A S confused:
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...
Nimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...
RIP BUJIBUJI........acha woga....hayo ni mapepo tu...hata mimi kuna kipindi hayo yako yalinikuta.ni mwaka jana...NILIUMWA SANA LAKINI SASA KWA UWEZO WA MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDH NA VYOTE VILIVYOMO AMENIPA NGUVU NA NIMEREJEA MASOMONI NIKIWA NA TUMAINI jipya
Duu wee kiboko, yaani isije ikafika siku ya kumtakia RIP usiwepo ukaona yako uitoe leo, umenichekesha sanaNikutakie RIP in advance.
...kama mke wako ni mzuri sana! Ni kweli unaweza ukafa...
...kama mke wako ni mzuri sana! Ni kweli unaweza ukafa...
yote ni kwasababu umepumzika mtungi ukizoea mtungi usipokunywa unaota mashetani piga kinywaji utaona no kufa raha tuNimeota ndoto, malaika ananiambia kuwa nitakufa April 2014. Ndoto hii maana yake nini???
Usiku uliopita sikulala kabisa, nilimwa sana na tumbo, sijawahi kuumwa kiasi tangu nizaliwe, wala mi sio mtu wa kuumwa umwa, ukiona naumwa jua ni hangover..
Lakini nina zaidi ya wiki sasa sijanywa...