dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,605
- 16,269
Jamaa aliwalazimisha watu wakae vijijini badal ya Kuja mjiniNyerere hakuwa muona mbali. Mara nyingi alifanya mambo kwa mkurupuko.
Ie vijijini vya ujamaa, Azimio la Arusha etc vilifeli vibaya sana