kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Ukiachana na issue ya kuchukua mkoa wa Kagera tuliambiwa idd amini alikua mbaya kupita maelezo
Nimefuatilia hotuba za Amini sana wiki nimeanza kunote vitu vingi sana
Nahisi tumedanganywa sana au Nyerere alitupanga sana kuhusu Amini
Mbona kama amini alikua ndo kiongozi bora kabisa wa Uganda wakati ule?
Mbona kama inaonekana Tz ilitumika kumtoa amini kwa msaada wa mabeberu? Maana amini alionekana kama tishio la maslahi ya madola ya kibeberu?
Maswali ni mengi sana, jee Nyerere alikua na chuki binafsi na Amini? Mbona story nyingi zilitungwa sana kumuhusi Amini?Je ingekuwa ni sasa angeweza kutudanganya kwasababu hizi zama tv ,na mitandao ipo? Maana kipindi kile hata tv hazikuruhusiwa nchini.
Maswali ni mengi ila la muhimu ni kuwa jee Amini alikua mbaya kama tulivyoaminishwa?
Nimefuatilia hotuba za Amini sana wiki nimeanza kunote vitu vingi sana
Nahisi tumedanganywa sana au Nyerere alitupanga sana kuhusu Amini
Mbona kama amini alikua ndo kiongozi bora kabisa wa Uganda wakati ule?
Mbona kama inaonekana Tz ilitumika kumtoa amini kwa msaada wa mabeberu? Maana amini alionekana kama tishio la maslahi ya madola ya kibeberu?
Maswali ni mengi sana, jee Nyerere alikua na chuki binafsi na Amini? Mbona story nyingi zilitungwa sana kumuhusi Amini?Je ingekuwa ni sasa angeweza kutudanganya kwasababu hizi zama tv ,na mitandao ipo? Maana kipindi kile hata tv hazikuruhusiwa nchini.
Maswali ni mengi ila la muhimu ni kuwa jee Amini alikua mbaya kama tulivyoaminishwa?