Serikali kuruhusu Taasisi za Umma kuajiri zenyewe badala ya Sekretariat ya Ajira (Utumishi) ni kujijengea chuki dhidi ya wasiokuwa na ajira

Brightly

JF-Expert Member
Apr 28, 2022
261
353
Habarii wanajf, hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya taasisi za umma zikianza kuajiri zenyewe badala ya utumishi ikiwa ni miezii kadhaa tangia Rais wetu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan alipozipa taasisi za umma mamlaka ya kujiendesha zenyewe kwa asilimia 100 ikiwa ni pamoja na kuajiri bila kupitia utumishi.

Kitendo Cha serikali kuruhusu taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kujitengenezea bomu ambalo litakuja kulipuka huko mbeleni.

Tunafahamu kuwa tatizo la ajira katika nchi hii ni kubwa Sana,ajira zinazotolewa na serikali ni chache Sana ukilinganisha na wanaohitimu kila mwaka licha ya ajira hizo chache Secretariat ya ajira (Utumishi) imesahaulisha wahitimu wengi kuhusu tatizo la ajira na imewajengea imanii kuwa ukijiandaa vizurii na ukawa competent unaweza kupata ajira serikalini Muda wowote bila kujuana na mtu yeyote.

Utumishi wamekuwa wakiendesha usailii kwa haki kuanzia namna ya kutangaza nafasi za kazi,kuita kwenye usaili,wanavyotunga mitihani yao hadi wanavyofanyisha watu usailii ni kwa hakii kwa asilimia zaidi ya 99% na hata ukikosa unajua kabisa siku yangu haijafika ipo siku yangu na unaona kabsaa Kuna haki imetendekaa.

Taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kukaribisha Tena rushwa, ukabila, ukanda, udini, na unamjua nani? Hayo tunayashuhudia kupitia hizii ajira zinazotangazwa bila kupitia utumishi na hii inafanya wahitimu wengi kujenga chuki na serikali na kuona kuwa hawana haki ya kuajiriwa serikalini.

Tunamuomba Rais wetu mama yetu Dr. Samaia Suluhu Hassan ajira zote za serikali ziwe za kujitolea,za mikataba au za kudumu zipitie utumishi ili tushindane kwenye uwanja wa haki na hii italeta ufanisii hata katika kazi kwa sababu tutapata watu ambao ni competent ambao watafanya kazi kwa uweledi.
 
Hata Secretariat ya ajira(utumishi) ni chenga tupu. Walitangaza Nafasi 800 za Afisa Maendeleo ya Jamii, walitaja kozi zinazohitajika ikiwemo Project Planning and Management, tulivyoomba majibu ni haya:

not shortlistede.
Reason: Lacks Relevant Bachelor Degree Certificate as Per Advert


Sasa tunajiuliza Ni kwanini walitaja kozi zetu Kama hawaziitaji?
 
Habarii wanajf,Hivi Karibuni tumeshuhudia baadhi ya taasisi za umma zikianza kuajiri zenyewe badala ya utumishi ikiwa ni miezii kadhaa tangia Rais wetu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan alipozipa taasisi za umma mamlaka ya kujiendesha zenyewe kwa asilimia 100 ikiwa ni pamoja na kuajiri bila kupitia utumishi. Kitendo Cha serikali kuruhusu taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kujitengenezea bomu ambalo litakuja kulipuka huko mbeleni. Tunafahamu kuwa tatizo la ajira katika nchi hii ni kubwa Sana,ajira zinazotolewa na serikali ni chache Sana ukilinganisha na wanaohitimu kila mwaka licha ya ajira hizo chache Secretariat ya ajira ( utumishi) imesahaulisha wahitimu wengi kuhusu tatizo la ajira na imewajengea imanii kuwa ukijiandaa vizurii na ukawa competent unaweza kupata ajira serikalini Muda wowote bila kujuana na mtu yeyote. Utumishi wamekuwa wakiendesha usailii kwa haki kuanzia namna ya kutangaza nafasi za kazi,kuita kwenye usaili,wanavyotunga mitihani Yao Hadi wanavyofanyisha watu usailii ni kwa hakii kwa asilimia zaidi ya 99% na hata ukikosa unajua kabisa siku yangu haijafika ipo siku yangu na unaona kabsaa Kuna haki imetendekaa. Taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kukaribisha Tena rushwa,ukabila,ukanda,udini,na unamjua nani?,hayo tunayashuhudia kupitia hizii ajira zinazotangazwa bila kupitia utumishi na hii inafanya wahitimu wengi kujenga chuki na serikali na kuona kuwa hawana haki ya kuajiriwa serikalini. Tunamuomba Rais wetu mama yetu Dr.Samia Suluhu Hassan ajira zote za serikali ziwe za kujitolea,za mikataba au za kudumu zipitie utumishi ili tushindane kwenye uwanja wa haki na hii italeta ufanisii hata katika kazi kwa sababu tutapata watu ambao ni competent ambao watafanya kazi kwa uuwe

Hata Secretariat ya ajira(utumishi) ni chenga tupu. Walitangaza Nafasi 800 za Afisa Maendeleo ya Jamii, walitaja kozi zinazohitajika ikiwemo Project Planning and Management, tulivyoomba majibu ni haya:

not shortlistede.
Reason: Lacks Relevant Bachelor Degree Certificate as Per Advert


Sasa tunajiuliza Ni kwanini walitaja kozi zetu Kama hawaziitaji?
Pole Sana mkuu ila mara nyingi tatizo linakuwa ni kwa muajirii sio wao maake muajirii ndiye anaetoa vigezo vya watu wanaowahitajii
 
Ni bahati mbaya,maana Kuna mtu namfaham kapata Kati ya hizo 800 na kasoma project management ya hapa chuo Cha mipango na kashaenda kuripoti
 
Uzuri wa hy system ni kwamba kama una certificate, diploma na degree halafu wakihitaji qualification moja wapo hapo bc unaomba bila kipingamizi chcht ila kwenye system ya utumishi utaomba ya degree tuu.
 
Habarii wanajf, hivi Karibuni tumeshuhudia baadhi ya taasisi za umma zikianza kuajiri zenyewe badala ya utumishi ikiwa ni miezii kadhaa tangia Rais wetu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan alipozipa taasisi za umma mamlaka ya kujiendesha zenyewe kwa asilimia 100 ikiwa ni pamoja na kuajiri bila kupitia utumishi.

Kitendo Cha serikali kuruhusu taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kujitengenezea bomu ambalo litakuja kulipuka huko mbeleni.

Tunafahamu kuwa tatizo la ajira katika nchi hii ni kubwa Sana,ajira zinazotolewa na serikali ni chache Sana ukilinganisha na wanaohitimu kila mwaka licha ya ajira hizo chache Secretariat ya ajira ( utumishi) imesahaulisha wahitimu wengi kuhusu tatizo la ajira na imewajengea imanii kuwa ukijiandaa vizurii na ukawa competent unaweza kupata ajira serikalini Muda wowote bila kujuana na mtu yeyote.

Utumishi wamekuwa wakiendesha usailii kwa haki kuanzia namna ya kutangaza nafasi za kazi,kuita kwenye usaili,wanavyotunga mitihani Yao Hadi wanavyofanyisha watu usailii ni kwa hakii kwa asilimia zaidi ya 99% na hata ukikosa unajua kabisa siku yangu haijafika ipo siku yangu na unaona kabsaa Kuna haki imetendekaa.

Taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kukaribisha Tena rushwa,ukabila,ukanda,udini,na unamjua nani?,hayo tunayashuhudia kupitia hizii ajira zinazotangazwa bila kupitia utumishi na hii inafanya wahitimu wengi kujenga chuki na serikali na kuona kuwa hawana haki ya kuajiriwa serikalini.

Tunamuomba Rais wetu mama yetu Dr.Samia Suluhu Hassan ajira zote za serikali ziwe za kujitolea,za mikataba au za kudumu zipitie utumishi ili tushindane kwenye uwanja wa haki na hii italeta ufanisii hata katika kazi kwa sababu tutapata watu ambao ni competent ambao watafanya kazi kwa uweledi.
Haswaa! Ukweli mkuu, Mama Rais wetu ameonyesha Nia ya dhati katika kutoa Ajira kwa vijana, tatizo lipo kwa hao watendaji sio waaminifu lazima kutakuwa na rafu za kila Aina, ikiwezekana Mama arudishe Tu huu mchakato wa Ajira utumishi, utumishi wapewe Muda warekebishe mapungufu Yao najua inawezekana. Ninaimani na Rais wetu Ninaimani na utumishi.
 
Habarii wanajf, hivi Karibuni tumeshuhudia baadhi ya taasisi za umma zikianza kuajiri zenyewe badala ya utumishi ikiwa ni miezii kadhaa tangia Rais wetu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan alipozipa taasisi za umma mamlaka ya kujiendesha zenyewe kwa asilimia 100 ikiwa ni pamoja na kuajiri bila kupitia utumishi.

Kitendo Cha serikali kuruhusu taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kujitengenezea bomu ambalo litakuja kulipuka huko mbeleni.

Tunafahamu kuwa tatizo la ajira katika nchi hii ni kubwa Sana,ajira zinazotolewa na serikali ni chache Sana ukilinganisha na wanaohitimu kila mwaka licha ya ajira hizo chache Secretariat ya ajira ( utumishi) imesahaulisha wahitimu wengi kuhusu tatizo la ajira na imewajengea imanii kuwa ukijiandaa vizurii na ukawa competent unaweza kupata ajira serikalini Muda wowote bila kujuana na mtu yeyote.

Utumishi wamekuwa wakiendesha usailii kwa haki kuanzia namna ya kutangaza nafasi za kazi,kuita kwenye usaili,wanavyotunga mitihani Yao Hadi wanavyofanyisha watu usailii ni kwa hakii kwa asilimia zaidi ya 99% na hata ukikosa unajua kabisa siku yangu haijafika ipo siku yangu na unaona kabsaa Kuna haki imetendekaa.

Taasisi za umma kuajiri zenyewe ni kukaribisha Tena rushwa,ukabila,ukanda,udini,na unamjua nani?,hayo tunayashuhudia kupitia hizii ajira zinazotangazwa bila kupitia utumishi na hii inafanya wahitimu wengi kujenga chuki na serikali na kuona kuwa hawana haki ya kuajiriwa serikalini.

Tunamuomba Rais wetu mama yetu Dr.Samia Suluhu Hassan ajira zote za serikali ziwe za kujitolea,za mikataba au za kudumu zipitie utumishi ili tushindane kwenye uwanja wa haki na hii italeta ufanisii hata katika kazi kwa sababu tutapata watu ambao ni competent ambao watafanya kazi kwa uweledi.
Haswaa! Ukweli mkuu, Mama Rais wetu ameonyesha Nia ya dhati katika kutoa Ajira kwa vijana, tatizo lipo kwa hao watendaji sio waaminifu lazima kutakuwa na rafu za kila Aina, ikiwezekana Mama arudishe Tu huu mchakato wa Ajira utumishi, utumishi wapewe Muda warekebishe mapungufu Yao najua inawezekana. Ninaimani na Rais wetu Ninaimani na utumishi.
 
Haswaa! Ukweli mkuu, Mama Rais wetu ameonyesha Nia ya dhati katika kutoa Ajira kwa vijana, tatizo lipo kwa hao watendaji sio waaminifu lazima kutakuwa na rafu za kila Aina, ikiwezekana Mama arudishe Tu huu mchakato wa Ajira utumishi, utumishi wapewe Muda warekebishe mapungufu Yao najua inawezekana. Ninaimani na Rais wetu Ninaimani na utumishi.
Nauunga mkono hoja
 
Haswaa! Ukweli mkuu, Mama Rais wetu ameonyesha Nia ya dhati katika kutoa Ajira kwa vijana, tatizo lipo kwa hao watendaji sio waaminifu lazima kutakuwa na rafu za kila Aina, ikiwezekana Mama arudishe Tu huu mchakato wa Ajira utumishi, utumishi wapewe Muda warekebishe mapungufu Yao najua inawezekana. Ninaimani na Rais wetu Ninaimani na utumishi.
 
Haswaa! Ukweli mkuu, Mama Rais wetu ameonyesha Nia ya dhati katika kutoa Ajira kwa vijana, tatizo lipo kwa hao watendaji sio waaminifu lazima kutakuwa na rafu za kila Aina, ikiwezekana Mama arudishe Tu huu mchakato wa Ajira utumishi, utumishi wapewe Muda warekebishe mapungufu Yao najua inawezekana. Ninaimani na Rais wetu Ninaimani na utumishi.
Huko na kwenyewe kuna binadamu hawa hawa, yapo yanayofanyika wewe usione.
 
uzuri wa utumishi wakitangaza nafasi na ukakdisqualify wanakupa reason why umekua disqualified halaf kitu kingine utumishi wakitangaza kazi zinaonekana public, lakini hizi taasisi nafasi za kazi zinatangazwa kwenye website zao ambazo hazifikiwi kwa wingi na jamii,

hivyo hufikiwa na wafanyakazi wa ndani ya taasisi, na huwaambia ndugu zao wenye taaluma ya kazi iliyotangazwa...

au unaweza kukuta taasisi inawafanyakazi wa temporary halafu kuna nafasi za permanent zinahitajika kujazwa hivyo huamua kuwaajiri hao hao waliopo ndani a,bao ni temporary badala yake kuzitangaza hizo kazi.. ili na wengine wazishindanie...

mimi naona hii kitu ya taasisi kuajiri zenyewe naona haijakaa sawa..

ni vyema wakatumia utumishi kutangaza hizo nafasi na kufanya shortlisted na kisha taasisi hiyo kufanyia usahili wa mchujo.
 
Hata Secretariat ya ajira(utumishi) ni chenga tupu. Walitangaza Nafasi 800 za Afisa Maendeleo ya Jamii, walitaja kozi zinazohitajika ikiwemo Project Planning and Management, tulivyoomba majibu ni haya:

not shortlistede.
Reason: Lacks Relevant Bachelor Degree Certificate as Per Advert


Sasa tunajiuliza Ni kwanini walitaja kozi zetu Kama hawaziitaji?
Labda haikuwa bahati yako wenzako wamekata.
 
Back
Top Bottom