Je, Mwakyembe kujiuzulu Ubunge?!

Hii frustration ndiyo itapelekea mabadiliko makubwa au watu kukata tamaa na kuwaachia kina Lowasa waendelee na wizi na ufisadi. Haya yote mimi nayaweka kwa mkulu wa nchi - Kikwete ndiye anawajibika hapa kwa vile bado ana nguvu na uwezo wa kufanya haki akitaka au akiona inamshinda, amwachie mwingine wa kuendeleza nchi.
 
Hii frustration ndiyo itapelekea mabadiliko makubwa au watu kukata tamaa na kuwaachia kina Lowasa waendelee na wizi na ufisadi. Haya yote mimi nayaweka kwa mkulu wa nchi - Kikwete ndiye anawajibika hapa kwa vile bado ana nguvu na uwezo wa kufanya haki akitaka au akiona inamshinda, amwachie mwingine wa kuendeleza nchi.


Huyo mkuu naona tuachane naye maana sasa hivi ameshadhihirisha kuwa na sifa zote tatu muhimu zina-define a failed leader: indecisiveness, bad decisions and unethical conduct.
 
Nafikiri ameudhika sana ndiyo maana ametaja kujiuzulu.Walitumwa kazi na wakaifanya na wakapendekeza mambo fulani lakini ikaishia hadithi tu, wewe ungefanyaje?Kama walificha mambo na wahusika hawakushukuru afadhali ayanike tu na sisi tufaidi

Ningeendelea kuishikia bango ishu hivyo hivyo. Sio kuanza kuyumba yumba ku second guess maamuzi yako mwenyewe ulipochagua nini ukiweke, na nini usikiweke kwenye ripoti yako.

Huwezi sasa hivi kuja kutishia kujiuzulu, au kuanika vitu ambavyo umesema vina madhara kwa taifa ili tu ku dili na maadui zako. Hatakiwi kuwa na hasira hasira za mkizi kama hizo.

Mara nyingi wenyeviti wa tume za uchunguzi wanachaguliwa watu fulani ambao wanaheshimika sana katika jamii. (Nyalali, Warioba, Bomani...) Hii ni kwa sababu tume ya uchunguzi inatakiwa ifanane fanane na taswira ya mahakama, itende haki. Ndio maana huwa wanachaguliwa watu ambao wana track record ya utauwa fulani hivi, hawana bifu na mtu, hawakasiriki kasiriki, na wametumikia nchi kwa uadilifu na taadhima. Elder Statesmen. Hasira ni nzuri, zinazochukia ufisadi na uzembe na usanii wa Bunge. Lakini sio za mkizi za kutishia kuanika yasiyomo kwenye ripoti.

Inawezekana kinachomsuta ni kwamba yeye kama Mwanasheria anajuta jinsi wataalam wenzie walivyo shtukia blunder alilolifanya la kutompa mtuhumiwa nafasi ya kujieleza. Hata majumbani ukisema "natafuta mtoto gani amevuja glasi, namshuku Juma," utaambiwa umemuuliza Juma? Hicho kitu ni cha asili sana, ndio maana Lowassa akasema kinaitwa natural justice.

Hata mimi ningependa "kufaidi" kusikia hayo mengine, na simpendi huyu Lowassa. Lakini kama hayana uzito wa kuingia kwenye ripoti, basi ni hearsay. Kaa nayo. Udaku.

Mwakyembe asianze kuchemsha.
 
Hii frustration ndiyo itapelekea mabadiliko makubwa au watu kukata tamaa na kuwaachia kina Lowasa waendelee na wizi na ufisadi. Haya yote mimi nayaweka kwa mkulu wa nchi - Kikwete ndiye anawajibika hapa kwa vile bado ana nguvu na uwezo wa kufanya haki akitaka au akiona inamshinda, amwachie mwingine wa kuendeleza nchi.

JK mimi nimekata tamaa naye kabisa siyo tu hastahili kuendelea kuwa Rais hivi sasa bali hata kugombea tena 2010, lakini chama cha mafisadi hakina jipya sitashangaa kikimpendekeza tena pamoja na kuonyesha kwamba hana uwezo kabisa wa kuiongoza nchi.
 
Ningeendelea kuishikia bango ishu hivyo hivyo. Sio kuanza kuyumba yumba ku second guess maamuzi yako mwenyewe ulipochagua nini ukiweke, na nini usikiweke kwenye ripoti yako.

Huwezi sasa hivi kuja kutishia kujiuzulu, au kuanika vitu ambavyo umesema vina madhara kwa taifa ili tu ku dili na maadui zako. Hatakiwi kuwa na hasira hasira za mkizi kama hizo.

Mara nyingi wenyeviti wa tume za uchunguzi wanachaguliwa watu fulani ambao wanaheshimika sana katika jamii. (Nyalali, Warioba, Bomani...) Hii ni kwa sababu tume ya uchunguzi inatakiwa ifanane fanane na taswira ya mahakama, itende haki. Ndio maana huwa wanachaguliwa watu ambao wana track record ya utauwa fulani hivi, hawana bifu na mtu, hawakasiriki kasiriki, na wametumikia nchi kwa uadilifu na taadhima. Elder Statesmen. Hasira ni nzuri, zinazochukia ufisadi na uzembe na usanii wa Bunge. Lakini sio za mkizi za kutishia kuanika yasiyomo kwenye ripoti.

Inawezekana kinachomsuta ni kwamba yeye kama Mwanasheria anajuta jinsi wataalam wenzie walivyo shtukia blunder alilolifanya la kutompa mtuhumiwa nafasi ya kujieleza. Hata majumbani ukisema "natafuta mtoto gani amevuja glasi, namshuku Juma," utaambiwa umemuuliza Juma? Hicho kitu ni cha asili sana, ndio maana Lowassa akasema kinaitwa natural justice.

Hata mimi ningependa "kufaidi" kusikia hayo mengine, na simpendi huyu Lowassa. Lakini kama hayana uzito wa kuingia kwenye ripoti, basi ni hearsay. Kaa nayo. Udaku.

Mwakyembe asianze kuchemsha.

Usimtuhumu mwakyembe hizi habari haziwezi kuwa zipo 100% kama zilivyoletwa hapa JF. tuwe nasubiri na pia maoni yako haya ni krudisha nyuma lengo la kutokomeza ufisadi
 
Huyo mkuu naona tuachane naye maana sasa hivi ameshadhihirisha kuwa na sifa zote tatu muhimu zina-define a failed leader: indecisiveness, bad decisions and unethical conduct.

Kuna watu wanasema kuwa Kikwete hana washauri wazuri, mimi nahakika kuwa Kikwete amepewa ushauri mara nyingi sana ila ameamua tu kwa makusudi kuukataa.

Sioni future yoyote na Kikwete.
 
Inahuzunisha sana, mafisadi wao wanajiona kama wameshinda maana hamna hatua zinazochukuliwa, Bravo Mwakyembe. Yani habari ya Richmond ni kama imekufa nobody cares, and Watu kama wakina Mwanyika bado wanapeta!!! tena wanawekwa na kwenye kamati teule nyingine za uchunguzi. Tanzania kazi ipo!!!

Richmond ripoti ilitolewa.. miezi kadhaa imepita. Majuzi Mugabe kaleta ubabe, muungwana akatoa tamko kiharakaharaka... Kitendo hiki cha Muungwana kinamfanya aonekane yeye ni kama Rais wa taifa jingine, maana mambo sensitive yanayohusu Taifa la Wadanganyika yeye wala hayashughulikii seriously. Ukimwuliza why anasema eti anaogopa kutoa uamuzi wa haraka na anakupeni reference ya mtu aliyemfukuza kazi kimakosa. Mbona ya Jongwe unayashabikia kiharaka-haraka namna hii? Wake up Muungwana. We want you to take action as Commander in Chief... Toa maamuzi kwa mambo nyeti yanayotugusa moja kwa moja sisi Wadanganyika tuliokuchagua (EPA, Kamati ya Madini, RICHMOND, KIWIRA etc) na sio kukimbilia mambo ya nje. You are no longer a Foreign Affairs Minister. You are the President of United Republic of Tanzania.
 
Kuna watu wanasema kuwa Kikwete hana washauri wazuri, mimi nahakika kuwa Kikwete amepewa ushauri mara nyingi sana ila ameamua tu kwa makusudi kuukataa.

Sioni future yoyote na Kikwete.

kumbuka kuwa mjinga hafundishiki wala hashauiriwi waliofanya hivyo wamepoteza mda wao, hajiamini ndo maana ataumnda tume mpaka 2010, tume juu ya tume juu tume anatafuta nini hapo?????? kuna haja gani kama umefanya hesabu 2+2=4 kuna haja gani ya kuichunguza hili jibu???
 
fraha yetu ni kusikia EL anatoswa,
fraha yetu ni kusikia RA anatoswa,
fraha yetu ni kusikia Chikalilo anatoswa,
fraha yetu ni kusikia Karamagi anatoswa,
fraha yetu ni kusikia Chenge anatoswa,
fraha yetu ni kusikia mafisadi yanayo tapatapa yanatoswa.
 
sifa zote tatu muhimu zina-define a failed leader: indecisiveness, bad decisions and unethical conduct.

what a composition!!!!
exactly, what I could not put into words.
- kwa kiswahili changu ninachojua
hana maamuzi
akiamua, ni uamuzi mbovu,
kama si mbovu, sio 'ethical'
kwa aslimia 90
 
Kitila na wewe Zitto na MKJJ Mnataka hoja ya Zimbabwe iliteke bunge halafu mnakuja huku mkijidai mnataka hoja za wazalendo!
Acheni huo UVUGU VUGU!
 
kumbuka kuwa mjinga hafundishiki wala hashauiriwi waliofanya hivyo wamepoteza mda wao, hajiamini ndo maana ataumnda tume mpaka 2010, tume juu ya tume juu tume anatafuta nini hapo?????? kuna haja gani kama umefanya hesabu 2+2=4 kuna haja gani ya kuichunguza hili jibu???

Freetown,

Kikwete anacheza na muda, amekuwa waziri wa nje kwa muda mrefu na anajua sana namna siasa zinavyoendeshwa. Hebu angalia Marekani, toka mwaka 1980 kila president anayekuja anaahidi kushughulia energy lakini muda unapita kwa uchunguzi na kamati na miaka 4 au 8 inapita bila kitu kufanyika.

Yeye anaunda kamati na kuvuta muda kwa kujua kuwa baada ya muda watu watachoka na kuanza kuzungumzia mengine. Mimi nitaonekana mbaya kwa wengi lakini matatizo ya Tanzania nayaweka miguuni mwa Kikwete na sio yeyote yule mwingine.
 
Freetown,

Kikwete anacheza na muda, amekuwa waziri wa nje kwa muda mrefu na anajua sana namna siasa zinavyoendeshwa. Hebu angalia Marekani, toka mwaka 1980 kila president anayekuja anaahidi kushughulia energy lakini muda unapita kwa uchunguzi na kamati na miaka 4 au 8 inapita bila kitu kufanyika.

Yeye anaunda kamati na kuvuta muda kwa kujua kuwa baada ya muda watu watachoka na kuanza kuzungumzia mengine. Mimi nitaonekana mbaya kwa wengi lakini matatizo ya Tanzania nayaweka miguuni mwa Kikwete na sio yeyote yule mwingine.

Safi!
MAPAMBANO YANAENDELEA!
 
hivi wananchi hawana nguvu ya kuwashitaki hawa wahujumu wa mali zetu.
Hata mimi najaribu kuangalia kama ninaweza kuifungulia mashtaka serikali huku nilipo!
Mambo yanakoelekea...Wanaligawa TAIFA.
 
Neema Neema Neema Imefunguliwa

Neema Kwa mwakyembe neema Imefunguliwa

Neema Neema Neema Imefunguliwa

Neema Nakwa Kabwe"" Neema Imefunguliwa

Neema Neema Neema Imefunguliwa

Neema Kwa Shujaa "" kilango"" Neema Imefunguliwa

Neema Neema Neema Imefunguliwa

utukufu Apewe Bwana Yesu Apewe Bwana



Neema Kwa Ndesamburo neema Imefunguliwa

Neema Neema Neema Imefunguliwa

Neema Nakwa Slaa"" Neema Imefunguliwa

Neema Neema Neema Imefunguliwa

Neema Kwa Shujaa "" watanzania"" Neema Imefunguliwa

Neema Neema Neema Imefunguliwa

utukufu Apewe Bwana Yesu Apewe Bwana[/QUOTE]
 
jamani wanao watetea mafisadi na wao ni mafisadi tu.Hakuna kupindisha ukweli hapa kwa nn umtetee mtuhumiwa wa ufisadi?basi ni lazima watakuwa wanajuana tu.
 
Back
Top Bottom