Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,578
Mbunge wa Kyela Dr,Mwakeyembe amelitaka bunge kutengua kanuni ili kuurudisha upya majadala wa Richmond Bungeni na wao kama kamati waruhusiwe kusema yote na ikibainika kuwa kuna mtu walimwonea yeye pamoja na wajumbe wa kamati yake wako tayari kujuuzulu ubunge wao.
Amesema kuwa hilo linatokana na wabunge pamoja na baadhi ya viongozi kueneza uzushi kuwa wapo walioonewa na wengine wanafanya jitihada za kuwasafisha kila kukicha na maneno ya uongo kila kona ya nchi.
Amesema kuwa ameamua kufikia uamuzi huo kwani kuna juhudi za makusudi zinafanywa na baadhi ya wabunge na viongozi wa chama kutaka kuwasafisha baadhi ya watuhumiwa.
Pia kitendo cha Serikali kutokuchukulia maamuzi ya bunge serious na kuwachukulia hatua wahusika na badala yake wapo wabunge wanaendeleza huo mjadala bungeni ili kuwasafisha baadhi ya watuhumiwa.
Akiwa anaongea hayo Lowassa alitoka nje ya bunge........
Bravo Mwakyembe.
Amesema kuwa hilo linatokana na wabunge pamoja na baadhi ya viongozi kueneza uzushi kuwa wapo walioonewa na wengine wanafanya jitihada za kuwasafisha kila kukicha na maneno ya uongo kila kona ya nchi.
Amesema kuwa ameamua kufikia uamuzi huo kwani kuna juhudi za makusudi zinafanywa na baadhi ya wabunge na viongozi wa chama kutaka kuwasafisha baadhi ya watuhumiwa.
Pia kitendo cha Serikali kutokuchukulia maamuzi ya bunge serious na kuwachukulia hatua wahusika na badala yake wapo wabunge wanaendeleza huo mjadala bungeni ili kuwasafisha baadhi ya watuhumiwa.
Akiwa anaongea hayo Lowassa alitoka nje ya bunge........
Bravo Mwakyembe.