Na kama BUNGE nalo halitasikiliza na kutekeleza OMBI hili la Mh. Mwakyembe na Kamati yake, SPIKA na BUNGE lililopitisha AZIMIO lile wanapaswa kuangalia kama wanastahili kuendelea KUWEPO. Vinginevyo WAMUWAJIBISHE WAZIRI MKUU mara moja.
Na kama BUNGE nalo halitasikiliza na kutekeleza OMBI hili la Mh. Mwakyembe na Kamati yake, SPIKA na BUNGE lililopitisha AZIMIO lile wanapaswa kuangalia kama wanastahili kuendelea KUWEPO. Vinginevyo WAMUWAJIBISHE WAZIRI MKUU mara moja.
Hii ni kweli alitakiwa aseme yote wakati ule ule. Kidogo haijakaa vizuri.Yeye Anasema Itajumuisha Yote Hata Yale Yaliyoachwa Kwa Kuinusuru Serikali! Hapo Ameanzisha Jambo Jipya, Anataka Tuamini Kuwa Kuna Mengi Hayajatamkwa Mle Ripotini Ila Kamati Imeyahifadhi, Na Sasa Wako Tayari Kuyaweka Hadharani!! Kuna Nini Anatufundisha Dkt.Mwakyembe , Richmond Iligusa Wake Kwa Waume Matumboni Mwao, Leo Unatuambia Hukueleza Yote ? Kwa Faida Ya Nani? Na Sasa Unashauri Mvunje Kanuni Zenu Rasmi Ili Uyatamke Hayo Yaliyomo Sirini Kwa Faida Ya Nani ?!!