figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Tarehe 2 Aug 2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alifanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya. Mmoja ya watu Walioteuliwa ni Mwanadada Kuruthum Amour Sadik ambaye aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji Mteule Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani.
Lakini nimeshangaa kusikia hadi leo hajaapishwa wakati wenzake wote Wameshaapishwa. Hakika kama ni kweli, wamemtesa kiasi cha kutosha kisaikolojia.
Ikabidi nipitie Website ya Halmashauri ya Chalinze kuangalia Mkurugenzi ni nani. Nikakuta Mkurugenzi Mtendaji ni Bw. Ramadhan Possi. Je, nini kilitokea?
Nashauri huyu dada atafutiwe kazi nyingine sababu furaha aliyokuwa nayo ilikatika ghafla. Kaikosea nini Nchi?
Je, Ridhiwani Jakaya Kikwete ana ugomvi wowote na Kuruthum Amour Sadik?
Asante
Bi. Kuruthum Amour Sadik aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani
Tarehe 2 Aug 2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alifanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya. Mmoja ya watu Walioteuliwa ni Mwanadada Kuruthum Amour Sadik ambaye aliteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji Mteule Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani.
Lakini nimeshangaa kusikia hadi leo hajaapishwa wakati wenzake wote Wameshaapishwa. Hakika kama ni kweli, wamemtesa kiasi cha kutosha kisaikolojia.
Ikabidi nipitie Website ya Halmashauri ya Chalinze kuangalia Mkurugenzi ni nani. Nikakuta Mkurugenzi Mtendaji ni Bw. Ramadhan Possi. Je, nini kilitokea?
Nashauri huyu dada atafutiwe kazi nyingine sababu furaha aliyokuwa nayo ilikatika ghafla. Kaikosea nini Nchi?
Je, Ridhiwani Jakaya Kikwete ana ugomvi wowote na Kuruthum Amour Sadik?
Asante
Bi. Kuruthum Amour Sadik aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani