MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,873
- 6,283
Wafadhili wa Waislamu wamejenga msikiti kwenye eneo la shule ya sekondari ya serikali inayoitwa Talawanda iliyopo katika wilaya ya Chalinze.
Mkurugenzi wa wilaya ya chalinze ameuvunja. sababu eneo ni la shule ya serikali.
Mkurugenzi wa Halmashauri aliyeuvunja ni Muislamu pia. nawaza ungevunjwa kwa amri ya mtu wa dini nyingine ingekuaje?
Mkurugenzi wa wilaya ya chalinze ameuvunja. sababu eneo ni la shule ya serikali.
Mkurugenzi wa Halmashauri aliyeuvunja ni Muislamu pia. nawaza ungevunjwa kwa amri ya mtu wa dini nyingine ingekuaje?