figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
- Thread starter
- #21
KitamboChalinze ni Wilaya kuanzia lini?
Nani mkuu wa Wilaya ya Chalinze?
KitamboChalinze ni Wilaya kuanzia lini?
Nani mkuu wa Wilaya ya Chalinze?
Basi sawa, nimeelewa.
Swali la msingi sana,na hawakomi kumchomekea hayo makorokochoDuh...!. Kiukweli kabisa kuna vitu na vitu, vitu vingine vyataka moyo wa kustahimili kwa wenye udhaifu wa yale mambo yetu yalee, yaani mambo fulani!. Naomba kukiri udhaifu, hata ningekuwa mimi, uzalendo ungenishinda, ningeshindwa! Mtu anajikuta umepewa, ukapagaishwa na ukapagawa, halafu hapo ni reception tuu, kule kungine haswa maeneo ya kati jee?!, halafu unajikuta kwa vile ni wewe ndio huingiza majina kwenye mkeka baada ya vetting, then unajikuta unachomekea tuu jina kutoka mfukoni, no vetting, no nini!, enzi za naniliu, hili lilifanyika sana, na hata ningekuwa mimi, who can pay no to such a beauty, ukiimagine zile feasts za 6x6!. Sasa ni zama nyingine, lile jicho japo limeregea, lakini linaona sana !.
Jicho limeona limekuta kumbe hilo ni kokoro, limeweka pembeni. Swali langu ni moja tuu, tangu Mama ameingia ameletewa makorokocho mengi katika uteuzi na kubainika ni makorokocho, then anarekebisha, mbona hatuwasikii hawa wanaomchomekea Mama makorokocho wanafanywa nini?.
P
Hata wewe ungekuwa wa kwenu tu Sasa mie hapa hunijui utanichukuajeAwamu hii wazanzibar wanaula vizuri mnoo.
Ni ipi tofaut ya kuapa na kuiapo cha utiiInaonesha elimu yetu ilivyo taabani.. tangu lini DEDs wakaapishwa? Pathetic.
Kwani Wakurugenzi huwa wanaapishwa wapi na Nani....!
Naomba nijifunze.
Braza hapa umeupiga mwingi sana 😄😄Duh...!. Kiukweli kabisa kuna vitu na vitu, vitu vingine vyataka moyo wa kustahimili kwa wenye udhaifu wa yale mambo yetu yalee, yaani mambo fulani!. Naomba kukiri udhaifu, hata ningekuwa mimi, uzalendo ungenishinda, ningeshindwa! Mtu anajikuta umepewa, ukapagaishwa na ukapagawa, halafu hapo ni reception tuu, kule kungine haswa maeneo ya kati jee?!, halafu unajikuta kwa vile ni wewe ndio huingiza majina kwenye mkeka baada ya vetting, then unajikuta unachomekea tuu jina kutoka mfukoni, no vetting, no nini!, enzi za naniliu, hili lilifanyika sana, na hata ningekuwa mimi, who can pay no to such a beauty, ukiimagine zile feasts za 6x6!. Sasa ni zama nyingine, lile jicho japo limeregea, lakini linaona sana !.
Jicho limeona limekuta kumbe hilo ni kokoro, limeweka pembeni. Swali langu ni moja tuu, tangu Mama ameingia ameletewa makorokocho mengi katika uteuzi na kubainika ni makorokocho, then anarekebisha, mbona hatuwasikii hawa wanaomchomekea Mama makorokocho wanafanywa nini?.
P
aleeyo paasi!!!!!!Duh...!. Kiukweli kabisa kuna vitu na vitu, vitu vingine vyataka moyo wa kustahimili kwa wenye udhaifu wa yale mambo yetu yalee, yaani mambo fulani!. Naomba kukiri udhaifu, hata ningekuwa mimi, uzalendo ungenishinda, ningeshindwa! Mtu anajikuta umepewa, ukapagaishwa na ukapagawa, halafu hapo ni reception tuu, kule kungine haswa maeneo ya kati jee?!, halafu unajikuta kwa vile ni wewe ndio huingiza majina kwenye mkeka baada ya vetting, then unajikuta unachomekea tuu jina kutoka mfukoni, no vetting, no nini!, enzi za naniliu, hili lilifanyika sana, na hata ningekuwa mimi, who can pay no to such a beauty, ukiimagine zile feasts za 6x6!. Sasa ni zama nyingine, lile jicho japo limeregea, lakini linaona sana !.
Jicho limeona limekuta kumbe hilo ni kokoro, limeweka pembeni. Swali langu ni moja tuu, tangu Mama ameingia ameletewa makorokocho mengi katika uteuzi na kubainika ni makorokocho, then anarekebisha, mbona hatuwasikii hawa wanaomchomekea Mama makorokocho wanafanywa nini?.
P
anaapishwa na RASWakurugenzi wa halmashauri kwa kawaida huwa hawaapishwi wenyewe wakishateuliwa ni kwenda kuripoti then anakabidhiwa ofisi na aliyekuwepo kisha anaanza kazi
Lete full picha. Anaweza kua hana tako!
Bado haijawa Wilaya Official.
Ridhiwani Kikwete ametoka kumuomba Rais Samia aifanye Chalinze iwe wilaya.
Ila we jamaa ni mtupu sana, huyo kwenye picha sio kuruthum. Hiyo picha ni fakeDuh...!. Kiukweli kabisa kuna vitu na vitu, vitu vingine vyataka moyo wa kustahimili kwa wenye udhaifu wa yale mambo yetu yalee, yaani mambo fulani!. Naomba kukiri udhaifu, hata ningekuwa mimi, uzalendo ungenishinda, ningeshindwa! Mtu anajikuta umepewa, ukapagaishwa na ukapagawa, halafu hapo ni reception tuu, kule kungine haswa maeneo ya kati jee?!, halafu unajikuta kwa vile ni wewe ndio huingiza majina kwenye mkeka baada ya vetting, then unajikuta unachomekea tuu jina kutoka mfukoni, no vetting, no nini!, enzi za naniliu, hili lilifanyika sana, na hata ningekuwa mimi, who can pay no to such a beauty, ukiimagine zile feasts za 6x6!. Sasa ni zama nyingine, lile jicho japo limeregea, lakini linaona sana !.
Jicho limeona limekuta kumbe hilo ni kokoro, limeweka pembeni. Swali langu ni moja tuu, tangu Mama ameingia ameletewa makorokocho mengi katika uteuzi na kubainika ni makorokocho, then anarekebisha, mbona hatuwasikii hawa wanaomchomekea Mama makorokocho wanafanywa nini?.
P
Sio kweli mkuu ninauhakika asilimia 100 ma ras hawamuapishi mtumishi yeyoteanaapishwa na RAS
Acha tamaamkurugenzi si kwa hilo tabasam
sio tamaa ni copliment tuAcha tamaa
Aapishwe haraka sana sisi wananchi tunataka awe mkurugenzi wetu