figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Dunia nzima, Viongozi wanakuwa ni mfano wa kupambana na Corona, lakini baadhi ya Viongozi wa Tanzania wanaonesha kujali akiwepo Rais Samia
Rais, Samia watendaji wako watatuua kwa Corona hadi tuishe. Watatumaliza. Wao sawa wanatibiwa bure, sisi bibi na babu zetu Mkishawaambukiza nani atawatibia?.
Hii picha imenisikitisha sana. Mumekuja kutoa pole au kututoa roho zetu? Mtuombe radhi na kuahidi kwamba hamtarudia kushika mikono ndugu zetu.
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akitoa pole kwa mama Selva Nchimbi ambaye ni mke wa marehemu John Alfonso Nchimbi aliyefariki tarehe 23 Januari 2022 Jijini Dar es salaam(katikati ni Balozi Dkt.Emmanuel Nchimbi). Januari 24,2022.
Thread 'Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona' Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona
Rais, Samia watendaji wako watatuua kwa Corona hadi tuishe. Watatumaliza. Wao sawa wanatibiwa bure, sisi bibi na babu zetu Mkishawaambukiza nani atawatibia?.
Hii picha imenisikitisha sana. Mumekuja kutoa pole au kututoa roho zetu? Mtuombe radhi na kuahidi kwamba hamtarudia kushika mikono ndugu zetu.
Thread 'Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona' Dkt. Mpango awataka watumishi fedha kujihadhari na Corona