CC:Kipara KipyaYani ukisikia shetani wa jf Ndio mtu Kama wewe kwahiyo mliompiga risasi hamna hatia ila mwenye hatia ni aliepigwa risasi na aliemuokoa doh aisee kisasi chenu kitakua kibaya Sana kwasababu kitachanganya na hasira pia maana mnawaza ushetani.
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu na vigogo wengine wa chama hicho wamefanya kikao chao cha kwanza tangu Uongozi mpya uingie madarakani.
Kikao hicho kimefanyikia jijini Nairobi nchini Kenya.
Source Mwananchi!
Kaja Nairobi nchini Kenya!Msiye mpenda kaja sasa kazi kwenu wana wa shetaniView attachment 1328553
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu ni kawaida yake kusahau kama wengine tulivyo Kwisha sahau mambo ya mapanga shwaaaWalau ume update maana wengine ni kama tumemsahau kabisa
Bora shetani wa kudhuru mtu mmoja kuliko yule wa kuangamiza taifa zima na vizazi vijavyo.
kama huvutiwi na taarifa achana nayo mkuu mtoa mada usiache kutujuza
Kama mazingira ya ndani hayalo conducive sioni shida wakifanyia kikao nje, suala ni je sheria za Kenya zinaruhusu mikutano au shughuli za kisiasa(kama itathibitika kweli ni ya kisiasa) za nchi nyingine zifanyike nchini mwao?
[emoji1][emoji1] wamehamia nairobi pale ufipa hawapataki. tukihoji matumizi ya ruzuku pyupyupyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nifeNaona mapovu yanakutoka baada ya kumuona mh Lissu akiwa hai, huyo ndiye rais wako ajaye
Sent using Jamii Forums mobile app
Chonde chonde jamani kwa wale wanaoupenda uhai wao! Huyu haguswi tena! Hivi mjue wale walioshiriki kurusha 38 bullets wako wapi? wamekufa wote!Hadi sasa watu wanateseka sana na kuweweseka kisa kuona picha za mh Lissu Makamu wa mwenyekiti wa cdm.
Je tayari amesha tua hapa nchini? Tafadhali tupeane habariView attachment 1327501View attachment 1327502
Sent using Jamii Forums mobile app
Chonde chonde jamani kwa wale wanaoupenda uhai wao! Huyu haguswi tena! Hivi mjue wale walioshiriki kurusha 38 bullets wako wapi? wamekufa wote!
Hivi unajua kuwa hata jini la magogoni linaweweseka baada kujua hajafa na kupata taarifa za kufa kiaina yale mashetani yaliyotumwa?
Jini la magogoni halishirikiani tena na yule "si riziki" wa jijini kwa vile masangoma aliowaleta walimuangusha!!
Somo: Hagusiki tena! Hakuna ubishi ndiye 2020 President wa JMT.
Mimi Mhaya toka Kiziba.Kumbe na wewe ni ukoo wa shetani mkuu kutoka chato
Wacha kuwadhalilisha wahaya kijana, nimesomea Ihungo pale wahaya wengi wanajitambua sana.Mimi Mhaya toka Kiziba.
Kilema!
Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.