Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,345
- 2,018
Wapalestina ndo nchi yao enzi na enzi, but kwa mujibu wa Biblia Mungu aliwaahidi wana wa Israel kuwa kuna nchi ya ahadi atawapa ambayo ni kanani sasa Israel. mzozo unakuja hapa, Wayahudi wanadai ni nchi yao ya ahadi Mungu aliwapa, km urithi wao. Wapalestina wanadai ni nchi yao toka dunia inaumbwa hapo ndo patamu sasaNani mmiliki halali?