Unamposti af jamaa ana comment
" na wewe pia ushapiga iyo pisi"
Apo utaelewa
Jamani😃😃😃😊🤭Wawakilishi wetu na maoni yako kuhusu kumpost au kutompost mpenzi wako kwenye social platforms, cha ajabu wote wanalia humu kuwa single ni kama mtu anakupa ushauri wa kidaktari halafu yeye siyo daktari.
Leejay49 mshamba_hachekwi View attachment 2790936View attachment 2790937
Wana MMU kwema? Nikutana na hii mada sehemu, je kuna umuhimu wa kumposti mpenzi kwenye mitandao ya kijamii?
Baadhi ya wanaume wanasema kufanya hivi ni kuanika mambo yako bila sababu ya msingi hivyo hakuna haja, huku wanawake wamegawanyika katika makundi mawili, baadhi wakisema hawawezi kupost wapenzi wao kwa kuhofia kuibiwa na wengine wakisema kupost ni muhimu ili kuonesha uamifu wako, kama hujampost kokote ujue kuna mambo unafanya hutaki mwenzako ajue,
Kwenu wakuu, kuna haja na ulazima wa kumposti mpenzi kwenye mitandai ya kijamii?
Hao mbwiga ndio wanaokosesha wenzao ndoa, usikute limemfananisha